Prominent COVID conspiracy theorist dies of virus

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,840
35,844
Mabibi na mabwana yamesemwa mengi na hata yamerushwa matusi mengi.

Uzuri ni kuwa wapigania haki za watu kuishi hawana tuzo wala utambulisho wanaotaka kibinafsi hapa duniani wala huko juu mbinguni.

Hapa yupo mwingine alikuwa mshupavu kweri kweri:

Wajameni haka kaugonjwa kana tabia mbaya ya umbua umbua.

Enyi wana tume huko mliko chonde chonde bandugu. Hii ngoma ni zaidi mno ya wale wademkaji.

Hala hala bandugu, kabla ya hatari lakini.

Wajameni, sote tu wa mola ila tukipalilia japo siku mbili zaidi za kuwapo hapa duniani si ndiyo ilipo tofauti yetu na wale mahayawani porini?

Kwa hili gonjwa bila kucheki na kujisemea hiiiiii unaweza kuwa usijitendee haki wewe mwenyewe.

---
Corona.jpg

A prominent Norwegian conspiracy theorist, who touted conspiracies about the coronavirus online, has died of the virus, according to multiple reports.

Hans Kristian Gaarder, 60, died on April 6, according to Insider. He was reportedly not tested for the coronavirus and hid his symptoms for several weeks before dying.

It was confirmed only after Gaarder’s death that he had the coronavirus, according to Metro.

Gaarder allegedly threw two illegal house parties—one on March 26 and another on March 27. It is said that more than a dozen people who attended the gatherings have since tested positive for the coronavirus.

According to Insider, Gaarder spread conspiracies related to the virus on his various social media accounts, believing it was “something that will be like a cold or light flu” and that it didn’t spread through person-to-person contact.

He also reportedly spread conspiracies related to the 2020 U.S. election and would post about the Illuminati.

Source: Prominent COVID conspiracy theorist dies of virus
 
Kwa hiyo hta yule aliyeieleza dunia kuwa uviko ni tumafua tudogo tudogo naye kumbe alitwaliwa na yale mawimbi makali ya Umbua Umbua!!
 
Kwa hiyo hta yule aliyeieleza dunia kuwa uviko ni tumafua tudogo tudogo naye kumbe alitwaliwa na yale mawimbi makali ya Umbua Umbua!!

Hili gonjwa si la kulifanyia ujuaji. Lina taswira nzima ya wasemayo waswahili "Ajidhaniaye kuwa kasimama ...."

Hiiiiii bagosha!
 
Back
Top Bottom