Brojust
Member
- Sep 17, 2016
- 60
- 92
Mimi ni kijana! Graduate nina umri wa miaka 30 kwa sasa, lakini sina ajira ya kunifanya niishi na familia yangu vizuri, Kwakuwa mungu amenijalia uwezo wa kuandika proposal mbali mbali katika makampuni na taasisi mbali mbali, nimeamua kuifanya hii kazi iwe proffesional na pia niweze kufika mbali sana kwa hii kazi, naombeni jamani msaada niwaandikie project mbali mbali, bei zangu ni rahisi sana na maana bado najenga mahusiano mazuri na wateja, nawaombeni mnipigie kwenye 0718 282874/ 0718 282874 AHSANTENI SANA
HIZI NI BAADHI YA KAZI ZANGU
HIZI NI BAADHI YA KAZI ZANGU