Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 309
Heshima mbele wana JF,
Nimekuwa nahangaikia kupata habari au msaada wa mawazo kutoka sehemu mbalimbali nafikiri na hapa jamvini lazima kuna msaada mkubwa wa mchango naweza kupata kwani naamini hapa ni kitovu cha taaluma na ujuzi wa mambo.
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikifikiria na kutafuta njia mablimbali za kuweza kufanya sisi kama vijana wa kitanzania katika mambo ya kiuchumi (nikimaanisha kuwa na biashara kubwa) tunazoweza kuanzisha vijana na kutufanya kuondokana na mawazo ya kuajiriwa hasa kwa vijana wenye elimu ya chuo kikuu. Lakini ninasikitika sana kuona watanzania wengi tunagombea nafasi za kuajiriwa tu na serikali yetu haina msaada wowote wa kuwezesha kuleta mafanikio. Serikali yetu inatafafsiri ujasiriamali ni kumwezesha mtu kupata rizki, mi naamini bila viwanda vidogo vya kati huo ujasiriamali hautakuwa na manufaa yoyote, wazalishaji wanatakiwa wajue soko na processing ikifanyika thamani ya mazao yao inaongezeka kwenye masoko ya kimataifa.
Kwa mtazamo wangu nimekuwa nikiamini watu wenye elimu ya chuo kikuu wanatakiwa kuwa na mtazamo wa kuanzisha ajira kwani wao wamepevuka upeo tofauti na waliokosa elimu hiyo.
Kwa wanaJF wanaojua jinsi ya kupata resources jamani ninaomba msaada wa mawazo.
Nimefanya feasibility study kwa miaka kadhaa sasa na hatimaye nimeaandaa business plan ya kufanya processing ya cassava (mihogo) kutengeneza starch. Mali ghafi hakuna asiyejua inapatikana nchi kwetu popote pale unahitaji kuwahakikishia wakulima soko tu na watakufanyia mambo ya kutosha. Hii itainua uchumi wa wakulima wadogo sana na hasa kwenye maeneo ambayo kilimo cha pamba kimeanguka na mikoa kame kama ya kati isiyo na zao la biashara kwani popote inastawi
Soko lipo juu sana na lengo ku export tayari kuna watu wanahitaji sana kuimport kutoka Tanzania nimejaribu kutangaza na kupata response nzuri sana. Kuna soko kubwa sana nchini (yote inaagizwa toka nje esp SA) kuna soko kubwa sana pale TBL na viwanda vingine vinavyotengeneza madawa, nguo, bia, tambi, biscuits, noodles, almost viwanda vyote vinavyotengeneza vyakula (canned na bottled) vinahitaji starch.
Tatizo kubwa nililonalo ni kwamba natafuta source ya funds kuanzisha kamradi haka ambacho profit margin yake ipo juu sana. Nipo tayari kwa mazungumzo specific ya jinsi ya kufanya ili mradi niweze kutimiza hii ndoto. Mradi huu unaweza kuwa expanded katika muda wa miaka 2 au 3 ukawa na plant nyingine ya kuzalisha ethanol kwa kutumia waste materials baada ya kuprocess cassava na tayari nimeanza kudraft plan yake. Nimejaribu kupita Tanzania investment bank na kuongea nao wakawa na interest ya kusaidia ila nikawa sina colateral wala mdhamini mwenye assets nzuri (mimi mtoto wa mkulima tu hata elimu yangu ni ya kuungaunga tu) ninaweza kuraise kidogo tu. Nimepita na NBC ikawa vilevile tu na mradi unakubalika na tatizo siaminiki tu kwa vile sina historia ya kushika pesa kubwa.
Ninaweza kusimamia hii kazi na ikawa juu kiasi cha kuridhisha na kushindana na biashara kubwa tu hata kuanzisha zingine safi zaidi.
Haya wadau naomba reference kwenye source au tujiunege na kuona nini cha kufanya. Nipo kwa wazi nasikiliza mawazo yenu na ushauri! unaweza kuchangia au kuniPM vyovyote utakavyoona
Ahsanteni sana
Mzuzu,
Hilo ni wazo zuri sana.... nadhani umefika wakati sasa wa kuanzisha kitu kama THINK CLUB, ambapo watu wenye mitazamo inayofanana wanakutana at least twice a week kuwa na concerted thinking... akina Ford, Edson, etc walikuwa na kitu kinaitwa Master Mind na ndiyo maana walifanikiwa.... unfortunately huku kwenye forum tunaona majina ya ajabu ajabu tu labda ningelipendekeza kwa Administrator kukawa na facility ya kuwaunganisha members through e-mails... mfano kukawa na option ya kum e-mail mtu ambaye umekutana naye kwenye Forum na ukawa interested na line of thinking..
Basi mimi nitajibanza mkuranga na naanza mwaka huu kwa kulima ekari 10 mihigo,wakati nawasubiri ngoja niwe natengeneza Crisps na mingine niwauzie kina mama wa Dar wanochoma na kukaanga mihogo.
Mkuranga would be more ideal if u plan to export ,ni karibu zaidi na bandari na pia barabara safi haina foleni ,pia TRL and TAZARA bado hawajajipanga still suffering from ufisadi and kubinafsisha crisiss
Ndugu yangu huko kote nimepita na hakuna support yoyote ya maana unayoweza kupata kwa vyombo vyetu hivi zaidi ya kuvitumia kwa maslahi yao ya kisiasa tu. Unafikiri TIC ingekuwa inafanya kazi inayotakiwa wahisani wangekata hio fungu la misaada? Wawekezaji wanaoitwa wote wanalalamika rasimu uliopo kwa system ya utawala wa serikali yetu. Wanaofanikiwa haraka ni wale wanaotoa au kuahidi kitu kwa watendaji hivyo nakomaa tu kuangalia sources nyingine, na nashukukuru tayari nimempata mbia yupo tayari tufanye naye kazi tumeshaweka local Manager na tumesajiliwa as a company mambo yanasonga sasa
Siku moja nilitia timu pale TIC kwa matamanio kwamba kwa vile ni kijana basi nitapata support kubwa,kushangaa jamaa wakanigeuza dili. Baada ya kugundua kuwa wamenigeuza dili sijakanyaga tena,na kila wakinipigia nawaambia niko mkoani.
Tatizo kubwa nililonalo ni kwamba natafuta source ya funds kuanzisha kamradi haka ambacho profit margin yake ipo juu sana. Nipo tayari kwa mazungumzo specific ya jinsi ya kufanya ili mradi niweze kutimiza hii ndoto. Mradi huu unaweza kuwa expanded katika muda wa miaka 2 au 3 ukawa na plant nyingine ya kuzalisha ethanol kwa kutumia waste materials baada ya kuprocess cassava na tayari nimeanza kudraft plan yake. Nimejaribu kupita Tanzania investment bank na kuongea nao wakawa na interest ya kusaidia ila nikawa sina colateral wala mdhamini mwenye assets nzuri (mimi mtoto wa mkulima tu hata elimu yangu ni ya kuungaunga tu) ninaweza kuraise kidogo tu. Nimepita na NBC ikawa vilevile tu na mradi unakubalika na tatizo siaminiki tu kwa vile sina historia ya kushika pesa kubwa.
Ninaweza kusimamia hii kazi na ikawa juu kiasi cha kuridhisha na kushindana na biashara kubwa tu hata kuanzisha zingine safi zaidi.
Haya wadau naomba reference kwenye source au tujiunege na kuona nini cha kufanya. Nipo kwa wazi nasikiliza mawazo yenu na ushauri! unaweza kuchangia au kuniPM vyovyote utakavyoona
Unafikiria kiwanda wakati mradi uko zaidi katika fikra. Cha kufanya ungeshirikiana na SIDO kubuni mtambo mdogo endapo biashara itatoka ndipo sasa ufikirie kulitafutia mtaji mkubwa. Angalau bidhaa iwe sokoni, iandikishwe (haki miliki), wateja wawepo; pengine hata baadhi ya wateja wanawezaingia ubia na wewe kufanikisha mradi huuHeshima mbele wana JF,
Nimekuwa nahangaikia kupata habari au msaada wa mawazo kutoka sehemu mbalimbali nafikiri na hapa jamvini lazima kuna msaada mkubwa wa mchango naweza kupata kwani naamini hapa ni kitovu cha taaluma na ujuzi wa mambo.
Kwa muda mrefu sana nimekuwa nikifikiria na kutafuta njia mablimbali za kuweza kufanya sisi kama vijana wa kitanzania katika mambo ya kiuchumi (nikimaanisha kuwa na biashara kubwa) tunazoweza kuanzisha vijana na kutufanya kuondokana na mawazo ya kuajiriwa hasa kwa vijana wenye elimu ya chuo kikuu. Lakini ninasikitika sana kuona watanzania wengi tunagombea nafasi za kuajiriwa tu na serikali yetu haina msaada wowote wa kuwezesha kuleta mafanikio. Serikali yetu inatafafsiri ujasiriamali ni kumwezesha mtu kupata rizki, mi naamini bila viwanda vidogo vya kati huo ujasiriamali hautakuwa na manufaa yoyote, wazalishaji wanatakiwa wajue soko na processing ikifanyika thamani ya mazao yao inaongezeka kwenye masoko ya kimataifa.
Kwa mtazamo wangu nimekuwa nikiamini watu wenye elimu ya chuo kikuu wanatakiwa kuwa na mtazamo wa kuanzisha ajira kwani wao wamepevuka upeo tofauti na waliokosa elimu hiyo.
Kwa wanaJF wanaojua jinsi ya kupata resources jamani ninaomba msaada wa mawazo.
Nimefanya feasibility study kwa miaka kadhaa sasa na hatimaye nimeaandaa business plan ya kufanya processing ya cassava (mihogo) kutengeneza starch. Mali ghafi hakuna asiyejua inapatikana nchi kwetu popote pale unahitaji kuwahakikishia wakulima soko tu na watakufanyia mambo ya kutosha. Hii itainua uchumi wa wakulima wadogo sana na hasa kwenye maeneo ambayo kilimo cha pamba kimeanguka na mikoa kame kama ya kati isiyo na zao la biashara kwani popote inastawi
Soko lipo juu sana na lengo ku export tayari kuna watu wanahitaji sana kuimport kutoka Tanzania nimejaribu kutangaza na kupata response nzuri sana. Kuna soko kubwa sana nchini (yote inaagizwa toka nje esp SA) kuna soko kubwa sana pale TBL na viwanda vingine vinavyotengeneza madawa, nguo, bia, tambi, biscuits, noodles, almost viwanda vyote vinavyotengeneza vyakula (canned na bottled) vinahitaji starch.
Tatizo kubwa nililonalo ni kwamba natafuta source ya funds kuanzisha kamradi haka ambacho profit margin yake ipo juu sana. Nipo tayari kwa mazungumzo specific ya jinsi ya kufanya ili mradi niweze kutimiza hii ndoto. Mradi huu unaweza kuwa expanded katika muda wa miaka 2 au 3 ukawa na plant nyingine ya kuzalisha ethanol kwa kutumia waste materials baada ya kuprocess cassava na tayari nimeanza kudraft plan yake. Nimejaribu kupita Tanzania investment bank na kuongea nao wakawa na interest ya kusaidia ila nikawa sina colateral wala mdhamini mwenye assets nzuri (mimi mtoto wa mkulima tu hata elimu yangu ni ya kuungaunga tu) ninaweza kuraise kidogo tu. Nimepita na NBC ikawa vilevile tu na mradi unakubalika na tatizo siaminiki tu kwa vile sina historia ya kushika pesa kubwa.
Ninaweza kusimamia hii kazi na ikawa juu kiasi cha kuridhisha na kushindana na biashara kubwa tu hata kuanzisha zingine safi zaidi.
Haya wadau naomba reference kwenye source au tujiunege na kuona nini cha kufanya. Nipo kwa wazi nasikiliza mawazo yenu na ushauri! unaweza kuchangia au kuniPM vyovyote utakavyoona
Ahsanteni sana
Dont worry mkuu, nimepata mbia mwenye uzoefu wa hii biashara na mambo yote ya kimsingi yanaendelea vyema. SIDO unayoiongelea wewe ya hivyo ilikwenda na Nyerere iliyopo sasa hivi ni ofisi chakavu tu na kilio cha hatuna pesa wala bajeti. Hii kitu nimeifanyia feasibility study na sio kukukurupuka tu mzee. Anayetambua hii biashara akiisoma project kwenye paper tu anakubali, hata hivyo hiki sio kiwanda tunaanza na factory ndogo kama pilot kama ulinisoma vizuri hapo nyuma. Kwa aina hii ya processing for viable project inatakiwa isiwe chini ya 0.5tonnes/hour sasa kwa level hiyo SIDO has nothing to do zaidi ya kushauri tu go ahead.
Mbia ndio mtejaa huyohuyo kama umesoma, anataka products anunue mwenyewe kama materials za kiwanda chake cha plastics so hii sio biashara kama ya daladala tulizozoea za kucopy na kupaste
Mkuu nashukuru sana kwa kunitia moyo, watu wengine hawajui kwamba nilianza na vyombo vyote vya nyumbani ambavyo vinahusika moja kwa moja na hakuna cha maana nilichopata. Hakuna mamlaka hapo nyumbani inayohusika ambayo sijapita kupata mawazo na resources zao baadaye nikakata tamaa nikaja kwenye jamvi kupata kama kuna watu wana mchango. Nikatangaza BID na partner-up huko ndo nikaanza kupata angalau response za kutia moyo. BID nipo kwenye ushindani wa projects stage ya 2 na patner-up ndo nilipata wawekezaji wawili tukakaa na mmoja ndo hadi sasa keshawekeza si haba na sasa tumesajiliwa na kuweka ofisi, tunategemea msimu huu wakulima waanza kuona soko limekuja ili wazalishe zaidi na pia tutakuwa na micro-finance facility kwa mikopo midogo kwa wakulima baadaye tutatoa gurantee kwa wakulima wakubwa wanaotaka kufanya biashara na sisi
Tupo kwneye maznugumzo bado na nipo ughaibuni sasa kwa gharama za mwekezaji tunaplan zaidi on how to go ahead
Nimepata Mkuranga na tunazungumza na RUBADA kupata eka 4000 zaidi halafu tunataka kupromote kilimo so leongo ni kuleta soko la wakulima tungependa zaidi wakulima wabakin na maeneo yao ili wazalishe na kuinua vipato vyao. Shamba litakuwa ni kwa back up na mafunzo zaidi kwa wakulima. Kuchukua ardhi yao ni kuwaongezea umaskini badala ya kuwapunguzia
Huyu mama ndo tunafanya naye mkuu ni mzuri sana tunakwenda vizuri kaka! natumaini tutaonana uso kwa so muda si mrefu ila mkuu wewe ni mdau muhimu naweza kukutafuta very soon tunaplan kuongea na chama cha wakulima muda mfupi ujao na kuona jinsi ya kufanya nao kazi kama shughuli zako zipo Mkuranga tutaonana mapema