smilingpanda
Member
- Sep 10, 2009
- 42
- 5
dah kwanza kabisa naomba kukupongeza kwa moyo wa dhati kabisa,hongera.
mimi ni kijana kama wewe,nina ndoto kama zako,I have read the post,all of it,Na kwa kweli you have been a real inspiration.Nafurahi sana kuona kwamba kunavijana ambao wanaweza kufanya mabadiliko,bila ya njia za panya na za mkato.hongera sana kwa hilo.
zaidi ya hapo nina swali moja to naomba nikuulize,HOW DID YOUR PARTNER GET YOUR PLAN ONLINE?kama unaweza kunipitishia na mimi hako ka website basi utakua umenisaidia sana.
ahsateh.
mimi ni kijana kama wewe,nina ndoto kama zako,I have read the post,all of it,Na kwa kweli you have been a real inspiration.Nafurahi sana kuona kwamba kunavijana ambao wanaweza kufanya mabadiliko,bila ya njia za panya na za mkato.hongera sana kwa hilo.
zaidi ya hapo nina swali moja to naomba nikuulize,HOW DID YOUR PARTNER GET YOUR PLAN ONLINE?kama unaweza kunipitishia na mimi hako ka website basi utakua umenisaidia sana.
ahsateh.