Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,262
- 6,908
Unamuogopa Geza..ha haaaaNimekuuliza wewe kama hutaki kujibu pia ni sawa. Sikubembelezi. Natumai binti yako wa miaka mitatu amewacha kumpiga na kumuuma mamake.
Unamuogopa Geza..ha haaaaNimekuuliza wewe kama hutaki kujibu pia ni sawa. Sikubembelezi. Natumai binti yako wa miaka mitatu amewacha kumpiga na kumuuma mamake.
Oya hamna whatsapp mchati huko?Hamna noma, m nikiwa msa alafu niwe sina mishe nyingi tutaonana tu..sema siku hizi sehemu niko ni ya kuzungushana tu, ndio manake sometimes unakuta jf siko active kw masaa kadhaa..
Hakika nawatambua mzee, alafu ujue hzo anga zenu siku hizi kumeanza kuimarika..
Kuna siku flani nilimtembelea cuzo flani magongo karibu na bomu hospital, kufika nimeona kidogo barabara za mitaani ziko vyema sana walai..
Sema tu hzo anga zenu sipajui jui sana ila stage zote nazitambua
Mzee mbona km waja nalo vileOya hamna whatsapp mchati huko?
uko ndipo nilipozaliwa na kulelewa...alafu development ni mingi sikuizi uko..flyover zimejengwa uko na sijawai ona watu wakiringa wa kutoka eneo za uko..wacha nikueleze poa..kuna hio video apo tony amepost ..huyo youtuber amesema kwa footbridge flani akichukua video apo upande wa left kuna estate yaitwa changamwe estate..hilo estate lina majumba ya kitambo..serikali watabomoa hilo estate na kuja nyumba zengine affordable kama buxton,( ) tayari watu walipewa notice..tukifika pale mainland magongo kuna estate yaitwa national housing ziko opposite oil refinery ..hayo majumba mostly si za gorofa..saizi venye tunaongea..wanazibomoa na kujenga za gorofa...lakini wanabomoa in areas..wanajenga apartments alafu wakisha maliza na bomoa zile nyumba za chini ..then wenye nyumba zao zimebomolewa wanahamishwa kwenye hizo apartments..alafu penye kulibomolewa wanajenga zengine..mtindo ndio...na tukifika kwa upande wa fly over apo mainland magongo(wacha magongo mwisho)apo mainland stage ukichukua hio barabara uende straight ukielekea wayani,na pipeline..ukienda straight kabisa utapata barabara ya kupeleka SGR..pia utakutana na juction (barabara ya kuenda nairobi ..na nyingine ya kuleta jomvu-mikindani -bangalaa-backlays bank hadi changamwe roadabout...hio barabara iko na interchange nne na fly over moja..ndio hizi apa chini...tatu ni hizi kwenye picha..na ya nne ni ile ya dongo kundu inapatika eneo la mariakani...hio ukifuatilizia inakupeleka port ama port reitz..
View attachment 1824918
vizuri sana..kwanzia apo kibaoni,kwa shee eneo la marahemu mbunge ramadhan kajembe alipokua akiishi,mikindani primary,kajembe high school,amani primary school..alafu ukifika apo mikindani primary school ukitoka kwenye bara bara la lamii ukishuka na hilo bara bara utapita kanisa la pastor anitwa mbela..alikua na mtoto anitwa timothy mbela alikua rafiki yangu sana..lakini akaaga dunia..ukienda chini kabisa utafika kwa bahari...hio mtaa naijua sana..Hizo sehemu zote umetaja nazijua, unakujua mikindani.
Sasa hio ndo mitaa yangu. Hii picha nimepiga leo asubuhi, hio arrow inapoint silos ambazo ziko few metres kutoka kibaoni stage. Alafu hapo hapo kibaoni ndo kunajengwa mikindanii interchange.vizuri sana..kwanzia apo kibaoni,kwa shee eneo la marahemu mbunge ramadhan kajembe alipokua akiishi,mikindani primary,kajembe high school,amani primary school..alafu ukifika apo mikindani primary school ukitoka kwenye bara bara la lamii ukishuka na hilo bara bara utapita kanisa la pastor anitwa mbela..alikua na mtoto anitwa timothy mbela alikua rafiki yangu sana..lakini akaaga dunia..ukienda chini kabisa utafika kwa bahari...hio mtaa naijua sana..
Hapa ndo mikindani interchange, hio arrow inapoint zile silos nimekuonyesha hapo juu. Growth yenye iko mombasa sio mchezo.vizuri sana..kwanzia apo kibaoni,kwa shee eneo la marahemu mbunge ramadhan kajembe alipokua akiishi,mikindani primary,kajembe high school,amani primary school..alafu ukifika apo mikindani primary school ukitoka kwenye bara bara la lamii ukishuka na hilo bara bara utapita kanisa la pastor anitwa mbela..alikua na mtoto anitwa timothy mbela alikua rafiki yangu sana..lakini akaaga dunia..ukienda chini kabisa utafika kwa bahari...hio mtaa naijua sana..
apo nakujua vizuri..last kupitia apo ilikua last year november...ukifutilizia hio barabara kuenda tao utapita bangala..kidogo..utaona petrol station na brigde..apo sai wameetandaza barabara ya concrete hadi uko changamwe round about nikifikiria ..juu niliacha kama wanataka kuitandaza..maendeleo yako mengi sana upande wa mainland wacha mombasa kwenye island kwenyewe..umeshawai fika apo stage ya mainland ukaona hilo fly over?sijui kama waliimalizia?Hapa ndo mikindani interchange, hio arrow inapoint zile silos nimekuonyesha hapo juu. Growth yenye iko mombasa sio mchezo.View attachment 1825518
View attachment 1825514
basi nikirudi tena mtaani nitakutafta..alfu by the way..mikindani waga tu nikama mtaa nyingine kivyake...yaani apartment ziko mingi sana...ata a magongo ziko less sana...mimi chenye hio mtaa ilikua inaniboesha nayo nikua hakuna matatu zao zenye zilikua zikifika ferry so sometimes unajikuta unapanda matatu mara mbili ndio ufike ferry..ama sikuizi zinafika?Sasa hio ndo mitaa yangu. Hii picha nimepiga leo asubuhi, hio arrow inapoint silos ambazo ziko few metres kutoka kibaoni stage. Alafu hapo hapo kibaoni ndo kunajengwa mikindanii interchange.View attachment 1825511
Mikindani ninavyojua mimi sidhani km zinapatikana pale, ferry sijaziona mzeebasi nikirudi tena mtaani nitakutafta..alfu by the way..mikindani waga tu nikama mtaa nyingine kivyake...yaani apartment ziko mingi sana...ata a magongo ziko less sana...mimi chenye hio mtaa ilikua inaniboesha nayo nikua hakuna matatu zao zenye zilikua zikifika ferry so sometimes unajikuta unapanda matatu mara mbili ndio ufike ferry..ama sikuizi zinafika?
Sijui kama wamemaliza au la juu nimepeza kidogo kufika mainland, last time niko huko ni last year january nikienda bomu stadium kucheki game. Saa hii lane ya kuja mikindani from town imefungwa tunazungukia changamwe police station.apo nakujua vizuri..last kupitia apo ilikua last year november...ukifutilizia hio barabara kuenda tao utapita bangala..kidogo..utaona petrol station na brigde..apo sai wameetandaza barabara ya concrete hadi uko changamwe round about nikifikiria ..juu niliacha kama wanataka kuitandaza..maendeleo yako mengi sana upande wa mainland wacha mombasa kwenye island kwenyewe..umeshawai fika apo stage ya mainland ukaona hilo fly over?sijui kama waliimalizia?
Mikindani kumejengwa magorofa sio mchezo, nikipata nafasi nitabwaga picha zingine. Hakuna direct matatu mpaka ferry juu sii economical, best option ni upande ya town alafu upande ya ferry ambayo inakuaga cheap sana kama thirty bob tu.basi nikirudi tena mtaani nitakutafta..alfu by the way..mikindani waga tu nikama mtaa nyingine kivyake...yaani apartment ziko mingi sana...ata a magongo ziko less sana...mimi chenye hio mtaa ilikua inaniboesha nayo nikua hakuna matatu zao zenye zilikua zikifika ferry so sometimes unajikuta unapanda matatu mara mbili ndio ufike ferry..ama sikuizi zinafika?
Nikirudi nitaonyesha hayo ma fly over..yaani kule kuna jengwa lakini ni kimya kimya..nakuambia kuna siku narudi mtaani baada kukaa nairobi miaka 2..nilishutuka sana kuona ma flyover hizo eneo..i did not expect fly over kujengwa mitaani...na si moja pekee...Alafu wengine kule mji wao wa pili ni Mwanza na bado wanataka kuleta utoshanishaji.
Hii ni upperhill viaduct project. Progress ya huu mradi upo sawa sana. Huu mradi ni tofauti na Nairobi expressway.
Tony254, Coco reborn ,komora096 ..lile fly over ya mainland magongo karibu na oil refinery..nimelipata ndio hii hapa..alafu video ya hio barabara yenye nilikua nikongea liko apo...from changamwe interchange hadi upande wa jomvo..apo kwa video pia utaona another fly over yenye iko kona changamwe( From 3:06 )..This road is beast when it comes to fly over..
Mainland magongo fly over
View attachment 1829149
inaishia tu apo karibu na mataa ya ndege....waga inakutana na hio ya kuenda nairobi- mikindani -mombasaHio barabara mpaka jomvu nilikua nikipeleka girlfriend wangu akiishi jomvu ansari dem days. Alafu hio road inaishia wapi juu mimi mwisho wangu ilikua mataa ya ndege alafu navuka reli narudi mikindani.