Are you the one who is going to pay or is it Kenyans?? kama inawauma sana waambieni wachina wajenge wakimaliza waing'oe wakaipande Uchina.Wachina wanalipua huo mradi gharama walizotaja ni tofauti na kijengwacho,wanakwenda kutengeneza faida maradufu kwa miaka 30,wachina si watu,wanakwambia tunajenga expressway ya ksh 500,hiyo ksh 500 tunaitoa sisi,lakini kwa ground wanajenga expressway ya ksh 60 ambapo wanaweka toll kwa hesabu ya ksh 500...🤣😭
Then angalia pillars zinazojengwa hapo,then kaangalie kwenye render vitu ni tofauti kabisa
Watakuambia ni wivu kumbe walaa hataWachina wanalipua huo mradi gharama walizotaja ni tofauti na kijengwacho,wanakwenda kutengeneza faida maradufu kwa miaka 30,wachina si watu,wanakwambia tunajenga expressway ya ksh 500,hiyo ksh 500 tunaitoa sisi,lakini kwa ground wanajenga expressway ya ksh 60 ambapo wanaweka toll kwa hesabu ya ksh 500...
Then angalia pillars zinazojengwa hapo,then kaangalie kwenye render vitu ni tofauti kabisa
we inakuhusu nni?Wakenya wa siku hizi mmekuwa mapopoma!!
SGR ya Waturuki ndani ya nchi huru ya Tanzania
Inauma sana kuona waafrika wenzetu mnatapeliwa kizembe sana,wakenya wamekuwa vilaza kupitiliza ..mnatapeliwa kirahisi hivyo...!!??we inakuhusu nni?
Khaa! Mtanzania kuumwa kisa Mkenya anatapeliwa? Mpya ya kufungia mwaka hii. UNAFIKI. Ebu tuache na ya kwetu nawewe pambana na ya kwenu.Inauma sana kuona waafrika wenzetu mnatapeliwa kizembe sana,wakenya wamekuwa vilaza kupitiliza ..mnatapeliwa kirahisi hivyo...!!??
I didn't know we have so many road engineers in jamiiforums!!Wachina wanalipua huo mradi gharama walizotaja ni tofauti na kijengwacho,wanakwenda kutengeneza faida maradufu kwa miaka 30,wachina si watu,wanakwambia tunajenga expressway ya ksh 500,hiyo ksh 500 tunaitoa sisi,lakini kwa ground wanajenga expressway ya ksh 60 ambapo wanaweka toll kwa hesabu ya ksh 500...🤣😭
Then angalia pillars zinazojengwa hapo,then kaangalie kwenye render vitu ni tofauti kabisa
Wachina watawajengea Hadi Ikulu muda si mrefu alaf waitumie kwa miaka kadhaa before hawajawapa.Naona umekosa Cha kufananisha Huyo Mturuki wako.
Nenda kaangalie renders na uje kufananisha na kinachojengwa hapo...😭😭😭😁😀I didn't know we have so many road engineers in jamiiforums!!
Are you an engineer?Nenda kaangalie renders na uje kufananisha na kinachojengwa hapo...😭😭😭😁😀