Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,263
- 183,157
Ambao si shemeji zako unawafumua tu ausio!!Yule shemeji yangu, siwezi kumfanya chochote...
Ambao si shemeji zako unawafumua tu ausio!!Yule shemeji yangu, siwezi kumfanya chochote...
Hiyo iko wazi kabisa.social envy, kuna nama mtu akisema yupo ulaya au America, ina gusa ego ya wamatumbi wengi
Ha haaaJana baada ya umeme kukata na ule uzi wa raarifa kufunguliwa kila mtu alikua anatoa ushuhuda eneo lake halina umeme, sijui kwimba, Tandahimba, tunduru, kibosho, changanyikeni, nyakasangwe, kaliua, mtimbira, mpitimbi huko, nk nk.
Ila tukirudi kwenye profile fulani from uk, fulani from Michigan, fulani from Munich, from Italy nk nk.
Mna tunachanganya lakini!!
Jumapili nzuri kwa wote.
Naomba picha ukiwa states ila weka mkono tu wenye alama ya dole.Karibu Atlanta Georgia🇱🇷 Niko hapa nasubiria baadae nisogee kuchek game stadium
View attachment 3617551
Hahaha huna akili kumbe😂Naomba picha ukiwa states ila weka mkono tu wenye alama ya dole.
Sizitaki kwanza😂😂unajua ukiwa huna akili unaishi bila stress? Maana hufikiri kesho yako wala yajayo wewe ukila zako wali ukashiba unawasha Azam Tv ni tamthilia...Sio kuanza kufutilia DSE sijui hisa zimepanda ,zimeshuka sio mambo yako..Ila nataka mwanaume mwenye Akili sasa!Hahaha huna akili kumbe😂
Hahaha pole sana...Sizitaki kwanza😂😂unajua ukiwa huna akili unaishi bila stress? Maana hufikiri kesho yako wala yajayo wewe ukila zako wali ukashiba unawasha Azam Tv ni tamthilia...Sio kuanza kufutilia DSE sijui hiya zimepanda ,zimeshuka sio mambo yako..Ila nataka mwanaume mwenye Akili sasa!
Sawa,Tafuta msomi wako mmoja akupasue kichwa ndani kunageuka mahakamaniHahaha pole sana...
Wanasema huwa ni perfect combo ila kwangu nooo
Hahaha dah,Kwahiyo ni bora hawa hawa ninao wakataaSawa,Tafuta msomi wako mmoja akupasue kichwa ndani kunageuka mahakamani
Hao ndio wazuri wewe ndio remote!!Hahaha dah,Kwahiyo ni bora hawa hawa ninao wakataa
Una maneno dahHao ndio wazuri wewe ndio remote!!
😂😂Una maneno dah
Itakuwa mtu wa tanga nn?
Mimi mzaramo rafikiItakuwa mtu wa tanga nn?
Ndo maana, Mnapenda mteremko sanaMimi mzaramo rafiki