Tunaona wazi huyu Slaa Ilmu yake ina mushhkeri kidogo kwani inatambuliwa na kanisa pekee. Angukuwa amesomea kwenye vyuo vya umma basi tungeona ni jambo la kawaida kwani amekaa uswahilini na kuona watu wanaishi vipi
Ataleta amani kweli au ataleta vurugu kama Chadema
Nina wasi wasi anaweza kuwa kama Rais Chiluba wa Zambia pale aliposema wazi kuwa Zambia ni taifa la Kikristo.
Huu ni uongo mkubwa sana. Hujui kitu wewe waseminari wanafundishaje. In fact kama Seminari wakianza form one 20 basi watamaliza 8 au chini ya hapo. Kwani wao huwa wanataka wale a div one tena zile kali tu. wengine huwa wanawaamisha waende mashule mengine.
Sasa wanafunzi hawa hawa wanaopata one za kutisha toka Seminary ukikutana nao UDSM hakuna kitu ni wa kaaida sana na mara nyingi wanafeli.
Ndio maana Seminari kwa kuliona hilo, wanaamua kuwapitisha kiujanja ujanja ili wapate Degree zisizoeleweka kwa kuwapitisha vyuo vya st...st colleges na st..Universities kama walivyofanya Kwa Slaa.
Kwa kupita njia hii utaona wao wanaandaliwa kuwa watumishi wa kanisa tena Katoliki maisha yote.
Sasa tatizo linakuja pale wanapoamua kuasi.
Pole sana Dr wa kanisa Catholics Slaa. Sababu Doctorate yako Duniani haitambuliki zaidi ya kanisa Catholics
Kama angekuwa Smart enough basi angejiunga japo na UDSM akakumbane na vichwa pale. Yeye kapita kwenye St colleges ndio maana kapita hiyo PhD.
Mimi nakubaliana kabisa na wengi Huyu ni Sawa tu na Dr Remmy Ongala, Au Dr Cheni.
Wasiwasi wangu Kwa hii CV yake na degree za ujanja ujanja atafaa kuwa Rais wa nchi.
Wengi wa wachangiaji katika mada hii wamejikuta wanadondokea katika ushabiki ima wa Chadema au Ukatoliki katika kutetea.
Tunaona kuwa Ilmu yake ni ile inayotambulika zaidi Kikatoliki na wala si vinginevyo. mazingira aliyokulia na kusomea ni yale ya Kikatoliki zaidi na hata PhD yake ni ile ya kuungaunga kiujanja ujanja kwa mfumo wa katoliki na wala si kwa mifumo tulio zoea,
Jambo kubwa mbele yetu ni kujiuliza kuwa SLAA ANATOSHA KUONGOZA NCHI.
Mkiweka mbele maslahi ya Taifa.
Utaona amepata ubunge wa karatu sababu yeye amekaa pale muda mrefu kama kiongozi wa Kiroho na kwa kupitia kanisa katoliki ameeza kujijenga sana katika kutoa misaada.
Ukisoma vizuri CV yake unaona wazi yeye amesomea na kupikwa na amelelewa katika mfumo wa Kikatoliki zaidi kama mtumishi kuhudumia wakatoliki.
Sasa najiuliza
1.mtu huyu ata prove vipi kwa jamii kuwa yeye anaweza kuongoza jamii yenye mchanganyiko wa Imani. Mind you ndani kuna mahasimu wakubwa wa catholics Duniani yaaani waislam.bila upendeleo
2.Je hataigeuza Tz kuwa nchi ya Kikatoliki.
3.ana mtaji gani kisiasa kuwa eleza waTz wamchague.
Hayo maswali yako si mwuulize Mu-Islaam mwenzio ZITTO KABWE??
Mwisho ni kwamba mwaka 2005 tuliahidiwa vitu kibao na sasa nini kinaendelea?
Hatutaki tena AHADI HEWA. Kiongozi atachunguzwa kwa HISTORIA yake na si AHADI zake feki.
Na hii haijali awe na dini gani au mtu wa rangi gani? Kabila gani? Mkoa gani? Maumbile yake nk.
sio lazima ufanye masters.
ukipata degree unaweza kuunganisha moja kwa moja kwenda kwenye PHD, ila kuna somo linalohusiana na kufanya research inabidi ufanye.
Hii inakuweje wadau??? Prof. Mwandosya naambiwa ni kichwa sana, ilikuwaje akaruka Masters degree???
Mkuu mbona siku hizi post zako zimekua za udini sana? maana kila kona naona ni wewe na Tumaini mnaandamana.
Ukipata first class au upper second degree,unaweza kwenda kufanya Phd moja kwa moja bila masters.Most masters in conversion.Mtu unaweza kusoma sociology Undergraduate,then ukasoma Msc say in finance,then Phd finance.
I assume Mwandosya alifanya vizuri kwenye Bsc. Ila napinga mpaka sasa ajiite Proffesor wakati ni full time politician.anyway hii ni Bongo
Mkuu,
Maneno mazito sana hayo juu.
Mtu ni Mwanasiasa wa miaka kibao na hafundishi wala kufanya kazi za kitafiti zozote na bado anajiita Dr.
Dr. Mwakyembe, Dr. Nagu, Prof. Mwandosya, Prof.......
Huu ni UPUUZI na kutumia hizo TITTLE vibaya. Wao na Dr. Remmy hawana tofauti kabisa. Na wengi ni Wasomi wanaotakiwa kufahamu kuwa haya ni MAKOSA.
Bahati mbaya hili hata Slaa anafanya.
Please Slaa, kama umeacha kazi za kufundisha na sasa umekuwa Mwanasiasa, inabidi hiyo TITTLE uitundike ukutani.
I beg to differ on this one.
MTU ANA UAMUZI KUTUMIA AU ASITUMIE.
These people earned their titles..hivyo ni haki yao kutumia Dr.
UKIWA NA MAWAZO HAYA, UTASEMAJE KWA AKINA DR KIKWETE, DR ANNA MKAPA, DR MALECELA - Hawa ni honorary yet they have a right to use the titles?
FYI hizi titles za Phd NI BOngo tu watu wanapapatika sana kuzitumia.... wenzetu nchi nyingine wala siyo deal...if anything mtu anaweka jina lake na mwisho anamaliza ( PhD)..MFANO VERA.....( PhD)
Tz TUNAANZA KUWA KAMA WANIGERIA...Kama wewe siyo Dr, basi ni Sheikh, Al Haj, Chief, Bishop... na siyo kubaki tu Mr, Mrs, Miss, Ms.
Labda wenzangu mnifafanulie kidogo kwa mtazamo wenu.
1. Dr W Slaa anafaa kuitwa Doctor.
wapi kafanya Post Graduate, Masters?
2. najua bila kuna wengi sana humu wa CHADEMA labda wamfikishie ujumbe huu kuwa Utafiti wake katika PhD alifanya khusu nini?
3.mnazionaje hizi degree za st.st.st?
Ndugu yangu tatizo hapa sio masters, watu wengi wana phd hawana masters kama ulifanya nice publications kwenye strong journals then ukaweza ku upgrade ukapata phd, tatizo hapa zitazame hizo miaka vizuri, eti Slaa anafanya phd kabla hata ya advance diploma huku akiwa na certificate fulani tu hapo.
Pia wadau mmeweka ana PhD tupeni publications zake basi na mtupe ni journals gani amepublish?