bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,881
Kwa chai ya mkandaa na kaimati za zafarani 😀
aaah chai inafungwa mkanda tena?? mweeeh!!
kalimati nazipenda Gee!!! St Constatine zilikuwepo?...lol!!
Kwa chai ya mkandaa na kaimati za zafarani 😀
Chezeiya Ngubiti wewe eeh?... Ukicheza zinakung'oa meno ati..lolmashallah vitu laini laini kashata za chicha, ufuta...eeeh!!
aisee ngubiti wee acha tu, Preta angekua hapa angenisaidia.
nilikuwa nikila baadae kichwa kinauma...lol
Chezeiya Ngubiti wewe eeh?... Ukicheza zinakung'oa meno ati..lol
Bee St Constatine wanakunywa chai na cake za sunkist lol. Watazijulia wapi kalimati za uswazini?aaah chai inafungwa mkanda tena?? mweeeh!!
kalimati nazipenda Gee!!! St Constatine zilikuwepo?...lol!!
Ha ha ha! Kashata za chicha la nazi afu zimetiwa food colour....ukitafuna sana sukari inaisha unabaki na machicha yasiyokuwa na sukari lol... Sasa wewe hujaiba afu unataka kuja kula hela zetu? Labda na wewe uibe mchele na mafuta kwenu tuje tujipikilishe.. Mie ntaiba mkaa,
Bee wewe utapuliza moto.
Lol...afu zinanataje kwenye mikono?...sijui zilikuwa zinakaushwa na moto wa kuni?... Ukitafuna zinalia ngub, ngub, ngub... Afu ukinunua unamng'atia mwenzio kwe meno, unamtemea...daaah! Tumetoka mbali jamani, zama za kale za mawe khaaa!aisee yale makitu yalikuwa magumu bana, unakuta vitoto vimekula shati lote guru tupu...lol!!!
Acha ujinga wewe, mbona ushachezwa?, shida nini?!
Utaacha lini mathreads ya chekechea haya?...huna hoja kacheze rede! Kwanini uonyeshe watu akili zako zinapogotea?
Kama ulitaka watu waone profile yako si uweke link tu, au kuwashawishi watu watembelee?...fyeeee!
Tushakuchoka!
Ona threads zake!:
Nimemuona mwana jf kitaa
jf chit chat taaaaamu!
Supa star wa JF
Nahitaj msaada mpenzi wangu mvivu saana
unataka utoke wkend na mpoleeee?
padri wa jf mzush, mapenzi bado yanisumbua
Kaanze upya!
Ukiwa hivi,mara nyingi utapenda uonekane![]()
![]()
Bee St Constatine wanakunywa chai na cake za sunkist lol. Watazijulia wapi kalimati za uswazini?
Lol...afu zinanataje kwenye mikono?...sijui zilikuwa zinakaushwa na moto wa kuni?... Ukitafuna zinalia ngub, ngub, ngub... Afu ukinunua unamng'atia mwenzio kwe meno, unamtemea...daaah! Tumetoka mbali jamani, zama za kale za mawe khaaa!
aaah chai inafungwa mkanda tena?? mweeeh!!
kalimati nazipenda Gee!!! St Constatine zilikuwepo?...lol!!
shule yao walikuwa na huduma ya fresh delivery toka sunkist, sisi tulibaki kuambulia mikate ya 'mayai'...lol eti kisa ya njano!!!
Subiri Boss aje akwambie chai inafungwaje mkanda!
Nyie watu baada ya kula gubiti kwa cat fights lazma mtishe!! Hahaha
Bosi wa ocean road eeh, poa!
Utashangaa na hizo catfights zenyewe, usiombe kushuhudia...lol
I love my profile so much..
Na pamba profile yangu kutokana na hali
nnayo jisikia siku hiyo .. what can I say I like designing.
Mmmh! Hili tusi kabisa! Imekuwaje wamekuachia mapema kiasi hiki? Ingebidi upumzike kama mwezi hivi! Ngoja nim-PM invisibleritz bana..eti nilimuita kenge..kuna ubaya?
Smile ma dia..acha majunguuuu!!!There are currently 9 users browsing this thread. (7 members and 2 guests)
Smile ma dia..acha majunguuuu!!!