Profile la kijana mkataa ndoa

Nilisoma comment yake mara 2 naacha naingia profile naangalia nikasema hamna nikarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Yani alinote humu kama ilivo kwa hali Ile ndoa asikatae aikimbie kabisa sio Kwa taasisi Ile πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tareek
 
Nilisoma comment yake mara 2 naacha naingia profile naangalia nikasema hamna nikarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Yani alinote humu kama ilivo kwa hali Ile ndoa asikatae aikimbie kabisa sio Kwa taasisi Ile πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Tareek
Operation ilichelewa asingekuwa na taasisi ya misukule
 
Me Kuna mtu alikuwa anajifanyaga mjanja hakujua anadeal na Nani.
Akaja na pigo za kupigana na mito kitandan.... Nikasema hapa ndio pakumaliza game huu mto niweke jiwe kama sio nyundo
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kha utaua
 
Nimepitia matukio magumu sana na ukijiless kwake mtu anaharibu kila unapoenda kuweka kambi tena sio kikawaida kawaida.
Hakikisha unamjua Mungu wa unaye date nae kabla ya kuingia matatizoni
Ukiingia Chaka unaanza kuongea pekeyako njiani
 
Mtu na akili yako timamu Unamfuga Binadamu mwenzako! Na wewe kwanini Ukubali kufugwa kama msukule?

Kijana KATAA NDOA,

Ndoa ni UTUMWA,

Ndoa ni chanzo cha UMASIKINI,

Kijana acha kufuga binadamu mwenzako kama Msukule.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…