Anita Makirita
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 1,409
- 2,254
1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30 and under.
2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially.
3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.
4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,
5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.
Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially.
3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.
4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,
5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.
Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.