Profile la kijana mkataa ndoa

Profile la kijana mkataa ndoa

Anita Makirita

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2021
Posts
1,409
Reaction score
2,254
1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30 and under.

2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially.

3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.

4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,

5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.

Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.
 
sidhani kama upo sahihi kwamba wakataa ndoa ni watu wadhaifu kama unavyoelezea sifa zao.

Watu makini kama Stamina na Nikki wa pili sidhani kama na wao wanataka kusikia kitu kinachoitwa ndoa..

wakataa ndoa wengi aidha wametendwa, au wanawake zao wamewatumia kwa manufaa yao na kuwatema.

ila pia ukioa kuna hadhi flani unapata kutoka kwa jamii inayokuzunguka.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Na Kwanini Nifanye ?
Kataa Biashara Haramu Ya Kununua Kiumbe
Na kwa nini usifanye? Ubinafsi sio tu kununua kiumbe utakataa utakataa hata kuipatia familia yako mahitaji ya msingi, wala usioe mwaya baki hivyo hivyo...
 
Ndugu mjumbe, Mimi kama RAISI WA CHAMA LA WAKATAA NDOA TAIFA, naomba nikujibu kama ifuatavyo:-

1. Ni vijana wadogo hawajafikisha 35 years old, infact majority wako 30's and under...

YAP NINA MIAKA 33 (1990)

2.Financially insecured,ama washawahi kuwa na experience iliyowafanya wafeel vulnerable financially..

HAPANA:-
Pasipo na maana ya kujisifia ila ....
NINA BIASHARA YENYE MTAJI WA MIL 42 na ajira yenye mshahara wa greater than 1.5Mil
Lakini pia ni mkulima mwenye Eka 57 za matunda na miti mbao.

3.Wachoyo hata kwa mambo madogo kama sukari, LOL.

HAPANA:-
Katika jambo nalosisitiza hata kwa watoto wangu ni "Share what you get"
Mungu amekupa baraka basi na wewe gawa.

4. Most ni introverts wanao struggle ku form relationships,

HAPAN:-
Mimi ni muomgeaji hasaa na napenda kukaa na watu na sanaa kuongelea mambo ya pesa.

5. Most ni wana ishu na mama zao, hii imewapelekea kutokuwa na healthy relationships hivyo kupelekea kuchukia zaidi wanawake.

HAPANA:
Sina mama na SIJAWAHI kumjua sanaaa.
RIP my mum.

Mnaopinga ndoa simply kuweni na faken life!...acheni upuuzi wa kuinfluence wengine negatively.

SIO KILA WAZO NDIO WAZO SAHIHI.

Nakala:-
Katibu Mkuu, dronedrake - Aione kwenye jalada

#YNWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom