uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,664
- 26,395
Professor kwa masikitiko makubwa sana umeharibu sana na unaendelea kuharibu vijana na kizazi kinachokuja kwa kuonyesha kwamba wapiganaji wa kweli na haki wanaweza kununuliwa .... Hivi unafundisha nini vijana wapenda haki wenye hari na siasa kwa ajili ya kukomboa wa Tanzania ... kwa chochote unachopata na umri uliona sasa jua yafuatayo:
- Unakatisha tamaa vijana wengi kwenye masuala ya Siasi, mapinduzi na kusimamia haki.
- Unaweka doa kwenye historia ya siasa ya vyama vingi Tanzania, haya mambo huishi milele.
- Ni legacy gani unaiacha kwa Taifa lako Mzee?
- Elimu yako imekusaidia nini?
- Unawafundisha nini waumini wa dini? hata hija umeenda, unakatisha tamaa.
- Unatufundisha kwamba maslahi ni kabla ya Imani zetu.
MIMI KAMA KIJANA NA MTANZANIA KWA KWELI NINASIKITIKA SANA MZEE KAMA WEWE, MSOMI, UNA IMANI YAKO, UMEHESHIMIKA KUNIDHIHIRISHIA KWAMBA SIASA NI MASLAHI.... BORA HATA MZEE WETU ALIYEENDA CANADA, SIO WEWE!
NAKUOMBEA MUNGU AKUSAIDIE KUTAMBUA KWAMBA FEDHA, NA KILA KITU VINAPITA, ILA HESHIMA, HAKI NA USAWA VITADUMU NA KUTUSAIDIA KWENYE MAISHA YAJAYO.
- Unakatisha tamaa vijana wengi kwenye masuala ya Siasi, mapinduzi na kusimamia haki.
- Unaweka doa kwenye historia ya siasa ya vyama vingi Tanzania, haya mambo huishi milele.
- Ni legacy gani unaiacha kwa Taifa lako Mzee?
- Elimu yako imekusaidia nini?
- Unawafundisha nini waumini wa dini? hata hija umeenda, unakatisha tamaa.
- Unatufundisha kwamba maslahi ni kabla ya Imani zetu.
MIMI KAMA KIJANA NA MTANZANIA KWA KWELI NINASIKITIKA SANA MZEE KAMA WEWE, MSOMI, UNA IMANI YAKO, UMEHESHIMIKA KUNIDHIHIRISHIA KWAMBA SIASA NI MASLAHI.... BORA HATA MZEE WETU ALIYEENDA CANADA, SIO WEWE!
NAKUOMBEA MUNGU AKUSAIDIE KUTAMBUA KWAMBA FEDHA, NA KILA KITU VINAPITA, ILA HESHIMA, HAKI NA USAWA VITADUMU NA KUTUSAIDIA KWENYE MAISHA YAJAYO.