Teknocrat
JF-Expert Member
- Oct 20, 2018
- 3,841
- 8,570
Truth never offend...Aisee!
Watu type yako ni wachache hii Tanzania.
Truth never offend
Hivi hii profession bado ipo nchini?Professor Shaba nitamkumbuka kwa kusimamia mtihani wetu wa somo la Pathology tukiwa Medical School mwaka 1982. RIP mwamba!.✝️
Sidhani kama bado watu wakifa wanaenda kufanyiwa postmortem unless ni very unique case itakayohusisha nchini kutaka kujua....
Nakumbuka miaka ya 80, Polisi nzima alikuwa mmoja tu Dr Pallangyo.....