Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,734
- 2,265
Thats the Prof Shaba I know, kwa mara ya kwanza tulionana katika mazingira nimeeleza huko nyuma, tukawa na maongezi mazuri sana yaliyofanya nisimsahau, he left me a good impression.He
Prof Shaba, alikuwa mtu muungwana mno. Hakuwahi kuwa na majivuno ya aina yoyote, a very simple man, mpenda utani na always kicheko kipo mdomoni mwake. Pia alikuwa Mwalimu mzuri sana katika fani yake. Alikuwa na marafiki wa cadre zote hasa wahudumu ambao alipenda kutaniana nao. Nakumbuka ofisi yake pale Central Pathology Laboratory (Histology) alikuwa hakosi wageni wa kwenda kumsalimia na kupata matibabu.
Tuliwahi kumuuliza kama haogopi cancer ya mapafu kutokana na uvutaji mwingi wa sigara akajibu kwani nikifa kwa malaria mapafu yangu yatakuwa na kazi gani?
Pumzika kwa amani Profesa James Shaba, Nguli wa Pathology.