Professa Gabriel wa wizara ya michezo ana elimu ya kughushi?

YES IT IS.

Kwanza tunapaswa kujua kuwa nafasi ya Ukurugenzi waWizara, au Ukatibu Mkuu/Naibu unamchakato wake. Nafasi ya Naibu katibu Mkuu ni nafasi ya kuteuliwa na Rais. Watu wanaoteuliwa kwa nafasi hizo ni wale ambao pamoja na vigezo vingine vilivyoaninishwa na mteuaji nadhani wawe na 1. Record nzuri ya utendaji kwa kazi zao za nyuma, 2. Uwezo katika nafasi wanayoteuliwa. Sasa mkuu mimi nilidhani unakuja na Hoja ya kueleza kushindwa kudeliver kwa Mh. Prof. Ole Gabriel kwa ushahihidi ulio wazi na usio acha mashaka yoyote. Idadi ya Maprofesor walioajiriwa na chuo nilichosoma haina uhusiano wowote na quality ya elimu niliyoipata, na kama unachallenge mfumo wa utoaji wa elimu wa chuo ambacho Ole Gabriel alipata PhD yake basi hilo ni tatizo la Chuo na mfumo wa nchi husika na wala haliwezi kuwa tatizo lake yeye.

1. Mkuu kwa mfano mimi namiliki banda la nyasi ukija kulala kwangu utasema
umelala hotel ya nyota tano kwa sababu wewe umelipia bei ya 5 * hotel?.

Haya turudi kwenye uhalisia. Kikundi cha wahuni wasiofika hata darasa la saba wame kuaward wewe cheti cha
uudaktari utasema Hakuna tatizo kwangu ila tatizo liko kwao?.

2. Rahisi (mfano wa Rais) wako ni kilaza na yeye hiyo Phd yake ni yakupewa kama ya kwako.

3. Mtu aliye forge vyeti atashindwaje kuforge wasifu na utendaji?
btw Rahisi wako sio mtendaji atawajuaje hao watendaji?.
Kwanza hii serikali inatumia kipimo kipi cha utendaji?
malipo hewa .. haya nayo yanawezekana vp?.

Phd yako ni feki
 
Kama ndiyo hivi mie simo, simo simo kabisaaa! Ni vizuri ajitokeze aseme ukweli maana ni aibu kwa Taifa na watu aliowadanganya hadi wakamteua kuwa Naibu Katibu Mkuu.
Preston University is a private for-profit unaccredited institution that offers a variety of academic degree programs by distance learning. Preston was originally based in Wyoming and in 2007 was based in Alabama. As of 2012, Preston identified Los Angeles, California as its base of operations.[SUP][1][2][3][/SUP]
Preston University is owned by Abdul Basit, who lives in Pakistan.[SUP][4][/SUP]
About 30 affiliated campuses throughout the world were listed by Preston.[SUP][5][/SUP] A number of degree programs ranging from associate to Ph.D. in a variety of disciplines were offered.[SUP][6][/SUP] As of August 2012, the Oregon Office of Degree Authorization reported that the university was operated from Pakistan, had formerly operated in Wyoming and Alabama in the United States, had recently started "selling degrees from" the U.S. state of California, had been active in Nepal in 2009, also had a presence in Dubai, and used several different institutional names in several world regions.[SUP][7][/SUP]
History[edit]
Preston University states that it was established in 1984 and that its first United States campus was established in 1994.[SUP][6][/SUP] As of 1998, the school was based in Cheyenne, Wyoming, and operated additional campuses in Africa and Asia, including four campuses in Karachi and two in other parts of Pakistan. At that time there were 30 full-time faculty and 30 part-time instructors working in Cheyenne, but most of Preston's revenue came from the campuses in Pakistan.[SUP][8][/SUP]
Preston faced challenges in 1998 when the U.S. government imposed trade embargoes on Pakistan in 1998 after that nation tested nuclear weapons,[SUP][8][/SUP] but by 2001, Preston's chancellor, Jerry Haenisch, told the Chronicle of Higher Education that Preston had 30 "affiliated" campuses in 19 countries and about 8,000 students, mostly in Pakistan.[SUP][9][/SUP] Preston offered classroom instruction in Cheyenne as well as distance education.[SUP][10][/SUP] As of 2001, about 18 students were reported to be taking classes at what was then Preston's official main campus in Cheyenne.[SUP][9][/SUP]
In 2001, The Chronicle of Higher Education reported that it had randomly selected two of Preston University's listed faculty members and inquired about their relationship with the university. They both said that they were not associated with Preston University and did not know that they were on the school's faculty list.[SUP][4][/SUP] A Preston official acknowledged that only 15 out of 49 listed faculty actually worked for the university.[SUP][11][12][/SUP] Haenisch explained that over half of the faculty on their list had applied for jobs at Preston but had never actually been employed. They were listed in case a student was interested in the discipline the professor specialized in. Haenisch admitted that the practice was misleading and would be discontinued.[SUP][4][/SUP]
In 2005, Haenisch said he was hoping the Wyoming legislature would pass laws that would allow the setting up an international accrediting agency to allow for expansion of Preston's as well as other schools online enrollment and bring more students to Wyoming; State Superintendent Jim McBride said he was opposed to any such law.[SUP][13][/SUP] Haenisch had also voiced his concern about the potential for illegitimate or degree mill-type schools being licensed in the state of Wyoming.[SUP][14][/SUP] [SUP][15][/SUP]
Move to Alabama[edit]
In 2007, the state of Wyoming started requiring that higher education institutions operating in the state must be accredited. Because Preston remained unaccredited it moved its operations to Alabama.[SUP][16][/SUP]
In February 2008 the Preston University website listed at least 30 affiliated campuses.[SUP][17][/SUP]
In August 2008, The Straits Times reported that Preston University was a degree mill from which some leading businessmen in Singapore held PhD degrees. The Straits Times' assertions about Preston were strongly disputed by Jerry Haenisch, Preston's chancellor, who confirmed that the university had no accreditation from any US Department of Education approved body but said that the school was "absolutely not" a "degree mill".[SUP][11][/SUP] [SUP][18][/SUP] Haenisch said that careless inclusion of Preston University in the sensational reporting about degree mills is inexcusable and demanded that the newspaper apologize for publishing articles based on superficial research and for repeating erroneous assumptions and untrue innuendo from other writers. He said that the university was "legally licensed and authorized to operate by the state of Alabama". Finally he took issue with The Straits Times' statement that the move from Wyoming to Alabama was a sign of disrepute. He said the move was made because Alabama is more populated than Wyoming and has much greater support resources. He also pointed out that the US Department of Education and the Council for Higher Education Accreditation both state the voluntary nature of accreditation in the country, and caution that a school's accreditation status should not be the sole criterion for assessing its quality or validity.[SUP][19][/SUP] The Straits Times responded, "The Straits Times ... made it clear that it was not about to apologise to Preston University for telling its readers the truth about its credentials – or rather, its lack of. Said Editor Han Fook Kwang: 'We stand by our story and am satisfied that our journalist was accurate in her reporting of Preston University'."[SUP][11][/SUP]
Preston University's license to operate legally in Alabama expired on December 1, 2008.[SUP][16][/SUP] On February 6, 2009, Preston University was ordered to cease and desist operations by the State of Alabama for failing many of the standards enacted for educational institutions in that state. The rules set by the Alabama Chancellor of Education, effective on October 1, 2008, require all private schools to become accredited. Section IV, B, 3, a, 4. states: “All privately licensed degree granting, post-secondary educational institutions must be accredited by an accrediting agency recognized by the United States Department of Education (USDE), the Council for Higher Education Accreditation (CHEA), be a candidate for accreditation or in process of application for accreditation as determined and monitored by the Department. This requirement becomes effective beginning October 1, 2008 for any degree granting institutions applying for initial or renewal licensure.”[SUP][20][/SUP] The Alabama Department of PostSecondary Education rejection letter to Preston states that "during the on-site visits, it was determined that the location for the institution is based out of a virtual office setting which is not staffed properly nor has operating equipment." Also, "The admissions policies are not rigorous and are unacceptable." Also, "All assessment decisions are based on a fee for diploma rather than class attendance, lecture participation and projects...", and finally "Evidence has been received by the Department that Preston University issues Honorary Degrees for a fee."[SUP][21][/SUP] The letter did not mention what evidence had actually been received and appears to be in contradiction with Preston University's website which states that the Academic Program Coordinator would recommend award of the appropriate degree only when the following requirements have been met:

  • satisfactory completion of all course work;
  • completion of an approved project, thesis or dissertation, if required;
  • full payment of all tuition, fees and costs;
  • written approval of the supervising professor; (Doctoral degrees only)[SUP][22][/SUP]
Move to California[edit]
Preston University moved its headquarters to Los Angeles, California in 2009.[SUP][23][24][/SUP]
In December 2011 the California Bureau for Private Postsecondary Education (BPPE) denied Preston University's application to operate in California and in May 2012 it issued a "statement of issues" where it asked that Preston's "Application for Approval to Operate an Institution Not Accredited" be denied by the Director of the California Department of Consumer Affairs on the basis of "incomplete application". A number of reasons were given in the BPPE's statement about this incomplete application, including Preston University's failure to provide the bureau with pertinent information about "cease and desist" orders it had received in the states of Wyoming and Alabama, as well as insufficient information about the institution's education programs and resources.[SUP][1][/SUP] As of September 2012, the Preston University website stated that the school had established its world headquarters in Los Angeles and was registered as a private post-secondary education institutional business in the state of California and the city of Los Angeles. It states it is applying to the "Board of [sic] Private Postsecondary Education (BPPE)...for an official license to operate" and "will continue to serve its alumni and graduates with transcript service, degree certification, and record keeping" during the BPPE review process.[SUP][2][/SUP]
 
Mleta mada huamini kama kasoma nje ya nchi?ama huamini uwezo wake?kwani mimi binafsi kuna cku nimemwona kwenye TV ckumbuki kilikuwa kipindi gani aliyeona atanikumbusha jamaa alikuwa akizungumzia maswala ya strategic mngmnt ni kama vile Dr aliyekuwa akitufundisha chuoni kwetu na ni kabla ya kuteuliwa vle vle navyojua viwango vya wanafunz wa mzumbe angepata shida sana kwenye pnd na siamini kama chuo chenyewe kinaweza kumwajir mtu mchovu kama unavyotaka kutuaminisha.Aise huyu jamaa kwenye kundi la wachovu wa chichiem mdelete.
 
Hapa hakuna hoja ya kujadili. Ni kuchanganyana tu !!! Kwani kigezo cha kuwa naibu katibu mkuu ni uprofesa ? Maprofesa warudi vyuoni kufundisha.

kwani kudanganya ni sifa ya kuwa Naibu Katibu Mkuu? wadanganyifu sehemu yao ni?
 
Mleta mada huamini kama kasoma nje ya nchi?ama huamini uwezo wake?kwani mimi binafsi kuna cku nimemwona kwenye TV ckumbuki kilikuwa kipindi gani aliyeona atanikumbusha jamaa alikuwa akizungumzia maswala ya strategic mngmnt ni kama vile Dr aliyekuwa akitufundisha chuoni kwetu na ni kabla ya kuteuliwa vle vle navyojua viwango vya wanafunz wa mzumbe angepata shida sana kwenye pnd na siamini kama chuo chenyewe kinaweza kumwajir mtu mchovu kama unavyotaka kutuaminisha.Aise huyu jamaa kwenye kundi la wachovu wa chichiem mdelete.

Mkuu mzumbe wana-angalia vigezo gani?. hawa form six?!
Form six wanafundishwa STRAMA?!.
Kwanza hata unaelewa mchakato wa kufundisha unavyokua?. Mimi nilipokua chuoni nilikua nawaelekeza wenzangu
principle of economics na walikua wananielewa mno..so am i Qualified to be ya prof?!.
 
Mleta mada huamini kama kasoma nje ya nchi?ama huamini uwezo wake?kwani mimi binafsi kuna cku nimemwona kwenye TV ckumbuki kilikuwa kipindi gani aliyeona atanikumbusha jamaa alikuwa akizungumzia maswala ya strategic mngmnt ni kama vile Dr aliyekuwa akitufundisha chuoni kwetu na ni kabla ya kuteuliwa vle vle navyojua viwango vya wanafunz wa mzumbe angepata shida sana kwenye pnd na siamini kama chuo chenyewe kinaweza kumwajir mtu mchovu kama unavyotaka kutuaminisha.Aise huyu jamaa kwenye kundi la wachovu wa chichiem mdelete.

Bofya hapa wewe kilaz mwingine https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...hd-feki-kamala-na-nchimbi-wajifua-upya-2.html
 
Mbogela, huyu prof. ni member wa category ipi kwenye NBAA ? ie, amekuwa registered kama nani.. accounting technician, ACPA, ACPA-PP ????
Mbogela
Ukifanikiwa kufanya course yoyote ya NBAA, let's say ATEC-I, tayari unakwa i member wa NBAA. Hiyo ndiyo qualification ya mtu yeyote yule kuwa member wa NBAA,au hata NBMM. Issue kubwa ni kuwa you hapened to be reistered as a candidate with the organistion, basi, Hauihitji vyeo ikubwa ofisini.
 
Last edited by a moderator:
Kuna sifa zengine jamani unaweza kuumbuka umeuliza swali zuri nasubiria majibu. Ila mijadala hii sio endelevu kama hana PhD ya ukweli ni kashfa but kama anaweza kudeliver what is the problem? Gabrielle anatakiwa afafanue hicho chuo cha Preson kimetokea wapi na huu utitle wa professor una uzito gani but hata kama ni Professa, Dr, Eng au First degree holder la msingi ni uchapa kazi wako tu. Tuachane na majungu jamani hatuendelei hivi.
Sasa kama la muhimu ni uchapakazi (kitu ambacho ni kweli kabisa) kwanini watu wanadanganya elimu? Kwanini usiseme tu elimu yako ya ukweli?
 
1. Mkuu kwa mfano mimi namiliki banda la nyasi ukija kulala kwangu utasema
umelala hotel ya nyota tano kwa sababu wewe umelipia bei ya 5 * hotel?.

Haya turudi kwenye uhalisia. Kikundi cha wahuni wasiofika hata darasa la saba wame kuaward wewe cheti cha
uudaktari utasema Hakuna tatizo kwangu ila tatizo liko kwao?.

2. Rahisi (mfano wa Rais) wako ni kilaza na yeye hiyo Phd yake ni yakupewa kama ya kwako.

3. Mtu aliye forge vyeti atashindwaje kuforge wasifu na utendaji?
btw Rahisi wako sio mtendaji atawajuaje hao watendaji?.
Kwanza hii serikali inatumia kipimo kipi cha utendaji?
malipo hewa .. haya nayo yanawezekana vp?.

Phd yako ni feki

Brilliantly put!
 
Nimemfahamu Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo siku nyingi kidogo wakati nikifanya Master's yangu kwenye

chuo fulani kikubwa hapa Tanzania na Afrika.

Kulingana na majukumu mazito niliyokuwa nayo, rafiki yangu mmoja alinitambulisha kwa Professa huyu ili aweze

kuniandikia research yangu ambayo ningeipeleka Chuoni ili kupata masters.

Alijitambulisha kuwa yeye ni profesa, nikaingiwa shaka kwakuwa ninachojua ni kuwa maprofessa hawajishughulishi na udanganyifu kama huu. Tukakubaliana bei ingawa baadae sikuweza kumwendea tena anisaidie. Wakati anajitambulisha alijimwagia sifa kede kede kuwa ameshawaandikia watu wengi sana research zao, hasa watu wa masters wakiwemo wanafunzi wake mwenyewe wa Mzumbe.

Baadae nikasikia amekuwa mkurugenzi wa michezo mara ghafla akawa naibu katibu mkuu. Anaitwa professa, Elisante Ole Gabriel. Nikaanza kupekua kuona uprofessa wake kautoa wapi? Ni chuo kipi kimempa uprofessa?

Kwanza nikakutana na CV yake iliyoko kwenye website yake ya biashara ya kuwaandikia watu research.

Lakini hakuna hata mahali pamoja anapotaja chuo alichosoma bachelor degree wala Masters. Sana sana anataja kuwa ni vyuo vya UK baas.

Kwenye Uprofessa akashindwa kuficha, kwanza hajawa full proffessor. Ni associate professor. Ameandika kuwa amepewa u-associate proffessor na chuo cha Preston University.

Kwa munibu wa wikipedia chuo hicho SIO Accredited University. Ni chuo cha mitaani tu.Preston University - Wikipedia, the free encyclopedia.

Nimehakikishiwa pia kuwa hata digrii zake za awali amezipata kwenye chuo hiki hiki. Na hadi anakuwa Naibu katibu mkuu, alikuwa ni SENIOR LECTURER wa Mzumbe University.

Na serikali ya CCM imemwamini zaidi, inaamini ni professor, na wamempa ulaji zaidi.

Udanganyifu kama huu katika elimu unaiumiza elimu yetu, unaumiza mustakabali wa Elimu wa Tanzania. Mtu aliyeghushi na asiye na sifa za kuwa hata tutorial assistant eti ndiye anaitwa Senior Lecturer kwenye chuo kikubwa kama Mzumbe.

Tanzama maelezo yake hapa Chini.

http://www.olegabriel.com/publication-web-Gab/CV-Gabriel.pdf

Dr Gabriel Elisante has a vast scope of the knowledge base.

He studied


Mechanical Engineering then Business Administration before getting to Materials



in Europe. He did his Masters of Science in International Business in UK. He also


did a Postgraduate Diploma in Marketing (UK).Finally, started his PhD in UK and


completed it in Finland. Upon completion of his PhD, he was awarded a title of


Associate Professor of Marketing with the Preson University, Finland.


Mkuu kuna sehemu mmechanganyana na Prof nini? mbona hii ni personal attack? Nilivyo kuelewa mimi kutokana na maelezo yako ni kwamba ulienda kuomba ushauri wa kuandika research, lakini wewe sasa ukataka uandikiwe research na Prof eti kwa sababu uko bize sana, hapo ndipo Prof akakutosa.
Sasa kwa hasira zako unakuja kupotosha watu humu
 
Kuna sifa zengine jamani unaweza kuumbuka umeuliza swali zuri nasubiria majibu. Ila mijadala hii sio endelevu kama hana PhD ya ukweli ni kashfa but kama anaweza kudeliver what is the problem? Gabrielle anatakiwa afafanue hicho chuo cha Preson kimetokea wapi na huu utitle wa professor una uzito gani but hata kama ni Professa, Dr, Eng au First degree holder la msingi ni uchapa kazi wako tu. Tuachane na majungu jamani hatuendelei hivi.
kama umeifuatilia thread hii kwa makini,inajadili kama uprofessor wake ni wa ukweli kwa maana ya kupitia njia sahihi..sasa la msingi ni kuthibitisha uhalali wa vyuo hivyo vilivyompa hadhi hiyo..hilo la unaibu katibu mkuu vigezo havijawahi kuwa uprofessor..bali msomi na mwenye uzoefu katika katika utumishi wa umma katika ngazi za uandamizi...labda hapa usomi uliotumika ndo uwe in doubt.
 
Mkuu kuna sehemu mmechanganyana na Prof nini? mbona hii ni personal attack? Nilivyo kuelewa mimi kutokana na maelezo yako ni kwamba ulienda kuomba ushauri wa kuandika research, lakini wewe sasa ukataka uandikiwe research na Prof eti kwa sababu uko bize sana, hapo ndipo Prof akakutosa.
Sasa kwa hasira zako unakuja kupotosha watu humu
this is never personal.....nafasi aliyonayo na mustakabali wa elimu ya nchi ni kitu chenye public interest, so regardingless sababu binafsi za mleta uzil(kama zipo), issue is vital kwa Taifa
 
this is never personal.....nafasi aliyonayo na mustakabali wa elimu ya nchi ni kitu chenye public interest, so regardingless sababu binafsi za mleta uzil(kama zipo), issue is vital kwa Taifa
Kwanza kiongozi yeye sio kiongozi wa serikali mwenye dhamana y elimu la pili uteuzi wake kwanafasi hiyo hauna uhusiano na elimu yake. Kwahiyo kwanini Uhoji?
 
Kwanza kiongozi yeye sio kiongozi wa serikali mwenye dhamana y elimu la pili uteuzi wake kwanafasi hiyo hauna uhusiano na elimu yake. Kwahiyo kwanini Uhoji?
ukishaaanza kufoji elimu yako which is wrong kisheria unakuwa hufai kushika madaraka, pili ukiwa ni mdokozi wa elimu mpaka katika kupata cheo/vyeo basi hata wewe teuzi na maamuzi yako yatakuwa nayo ya kufoji au kitapeli
 
Dr. Elisante Gabriel
Professor of Marketing Education:
* PhD - Marketing (Preston University Finland & USA)
* MSc - International Business (Salford University, UK
* Advanced Diploma in Business Administration (Mzumbe, Tanzania)
Tel: +255 78 4455 499
elisante_gabriel(at)yahoo.com


Hayo ndio majibu kutoka kwenye hiyo website ya chuo. Kwenye maelezo PhD kaanzia UK kamalizia Finland, hapa wanasema Finland na USA. Pia kwenye CV wanasema ana elements za Engineering, hapa naona iko smooth-kitu ADBA, MSC, PhD. Na zaidi Chuo kinatoa PhD na Masters ila kina staff wa4 tu na Rais wa Chuo mmoja. Jamani-jamani nchi hii, ndio maana hakuna deliverance.

Jamani huyo Mh ni mate wangu Enzi hizo IDM - Mzumbe intake ya 1995 to 1998
na alikuwa anachuka Advanced Diploma in Materials Management, (ADMM) na sio (ADBA)
Mh Emmanuel Nchimbi alikuwa mbele yetu mwaka mmoja akichukua (ADPA).
Kwa Gabriel kuwa na Phd siwezi kushangaa sana kwani alikuwa anakiu sana
ya kujiendeleza kimasomo na ndio maana niivyomwona kwenye tv za hapa kwetu
akijandili maada mbali mbali sikushangaa. ILA niliposikia Mh E. Nchimbi anaitwa Dr
nilishangaa mno.
 
Nimemfahamu Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo siku nyingi kidogo wakati nikifanya Master's yangu kwenye

chuo fulani kikubwa hapa Tanzania na Afrika.

Kulingana na majukumu mazito niliyokuwa nayo, rafiki yangu mmoja alinitambulisha kwa Professa huyu ili aweze

kuniandikia research yangu ambayo ningeipeleka Chuoni ili kupata masters.

Alijitambulisha kuwa yeye ni profesa, nikaingiwa shaka kwakuwa ninachojua ni kuwa maprofessa hawajishughulishi na udanganyifu kama huu. Tukakubaliana bei ingawa baadae sikuweza kumwendea tena anisaidie. Wakati anajitambulisha alijimwagia sifa kede kede kuwa ameshawaandikia watu wengi sana research zao, hasa watu wa masters wakiwemo wanafunzi wake mwenyewe wa Mzumbe.

Baadae nikasikia amekuwa mkurugenzi wa michezo mara ghafla akawa naibu katibu mkuu. Anaitwa professa, Elisante Ole Gabriel. Nikaanza kupekua kuona uprofessa wake kautoa wapi? Ni chuo kipi kimempa uprofessa?

Kwanza nikakutana na CV yake iliyoko kwenye website yake ya biashara ya kuwaandikia watu research.

Lakini hakuna hata mahali pamoja anapotaja chuo alichosoma bachelor degree wala Masters. Sana sana anataja kuwa ni vyuo vya UK baas.

Kwenye Uprofessa akashindwa kuficha, kwanza hajawa full proffessor. Ni associate professor. Ameandika kuwa amepewa u-associate proffessor na chuo cha Preston University.

Kwa munibu wa wikipedia chuo hicho SIO Accredited University. Ni chuo cha mitaani tu.Preston University - Wikipedia, the free encyclopedia.

Nimehakikishiwa pia kuwa hata digrii zake za awali amezipata kwenye chuo hiki hiki. Na hadi anakuwa Naibu katibu mkuu, alikuwa ni SENIOR LECTURER wa Mzumbe University.

Na serikali ya CCM imemwamini zaidi, inaamini ni professor, na wamempa ulaji zaidi.

Udanganyifu kama huu katika elimu unaiumiza elimu yetu, unaumiza mustakabali wa Elimu wa Tanzania. Mtu aliyeghushi na asiye na sifa za kuwa hata tutorial assistant eti ndiye anaitwa Senior Lecturer kwenye chuo kikubwa kama Mzumbe.

Tanzama maelezo yake hapa Chini.

http://www.olegabriel.com/publication-web-Gab/CV-Gabriel.pdf

Dr Gabriel Elisante has a vast scope of the knowledge base.

He studied


Mechanical Engineering then Business Administration before getting to Materials



in Europe. He did his Masters of Science in International Business in UK. He also


did a Postgraduate Diploma in Marketing (UK).Finally, started his PhD in UK and


completed it in Finland. Upon completion of his PhD, he was awarded a title of


Associate Professor of Marketing with the Preson University, Finland.


wewe mwenyewe ni mmoja katika kundi la huyo professor unayemponda katika mada yako kumbuka ulikutana na huyo profesor ambaye wewe unamwita feki kwa lengo la kukuandikia research, kazi ambayo ulitakiwa uifanye mwenyewe ili uweze kutunukiwa degree unayostahili, hivyo na wewe ulikuwa katika mlolongo wa kugushi elimu yako, simtetei huyo profesor feki ila nataka kumaanisha na wewe mtoa mada ni walewale kama huyo prof.
 
Hapa hakuna hoja ya kujadili. Ni kuchanganyana tu !!! Kwani kigezo cha kuwa naibu katibu mkuu ni uprofesa ? Maprofesa warudi vyuoni kufundisha.

Mkuu, tatizo siyo Kuwa na sifa za Kuwa Katibu mkuu. Hapo alipo kwa elimu yake halali na uwezo wake, anaweza Kuwa anastahili Kuwa na wadhifa huo. Tatizo linalojadiliwa hapa ni kujipa sifa za uongo, zisizo halali.

Mtu akishaanza Kuwa na tabia ya kujipachika sifa asizostahili, hana uaminifu na hatakuwa na ubora wa akili wa kuweza kushika wadhifa unaohitaji uaminifu. Ndo matatizo yaliyojitokeza kwa baadhi ya walimu wa Mzumbe na hadi kwa wanafunzi wao. Akina Nchimbi, akina Makala nao eti wakapata vyeti vya masters, Kamala, nk.
 
Nimemfahamu Naibu katibu Mkuu wa Wizara ya Michezo siku nyingi kidogo wakati nikifanya Master's yangu kwenye

chuo fulani kikubwa hapa Tanzania na Afrika.

Kulingana na majukumu mazito niliyokuwa nayo, rafiki yangu mmoja alinitambulisha kwa Professa huyu ili aweze

kuniandikia research yangu ambayo ningeipeleka Chuoni ili kupata masters.

Alijitambulisha kuwa yeye ni profesa, nikaingiwa shaka kwakuwa ninachojua ni kuwa maprofessa hawajishughulishi na udanganyifu kama huu. Tukakubaliana bei ingawa baadae sikuweza kumwendea tena anisaidie. Wakati anajitambulisha alijimwagia sifa kede kede kuwa ameshawaandikia watu wengi sana research zao, hasa watu wa masters wakiwemo wanafunzi wake mwenyewe wa Mzumbe.

Baadae nikasikia amekuwa mkurugenzi wa michezo mara ghafla akawa naibu katibu mkuu. Anaitwa professa, Elisante Ole Gabriel. Nikaanza kupekua kuona uprofessa wake kautoa wapi? Ni chuo kipi kimempa uprofessa?

Kwanza nikakutana na CV yake iliyoko kwenye website yake ya biashara ya kuwaandikia watu research.

Lakini hakuna hata mahali pamoja anapotaja chuo alichosoma bachelor degree wala Masters. Sana sana anataja kuwa ni vyuo vya UK baas.

Kwenye Uprofessa akashindwa kuficha, kwanza hajawa full proffessor. Ni associate professor. Ameandika kuwa amepewa u-associate proffessor na chuo cha Preston University.

Kwa munibu wa wikipedia chuo hicho SIO Accredited University. Ni chuo cha mitaani tu.Preston University - Wikipedia, the free encyclopedia.

Nimehakikishiwa pia kuwa hata digrii zake za awali amezipata kwenye chuo hiki hiki. Na hadi anakuwa Naibu katibu mkuu, alikuwa ni SENIOR LECTURER wa Mzumbe University.

Na serikali ya CCM imemwamini zaidi, inaamini ni professor, na wamempa ulaji zaidi.

Udanganyifu kama huu katika elimu unaiumiza elimu yetu, unaumiza mustakabali wa Elimu wa Tanzania. Mtu aliyeghushi na asiye na sifa za kuwa hata tutorial assistant eti ndiye anaitwa Senior Lecturer kwenye chuo kikubwa kama Mzumbe.

Tanzama maelezo yake hapa Chini.

http://www.olegabriel.com/publication-web-Gab/CV-Gabriel.pdf

Dr Gabriel Elisante has a vast scope of the knowledge base.

He studied


Mechanical Engineering then Business Administration before getting to Materials



in Europe. He did his Masters of Science in International Business in UK. He also


did a Postgraduate Diploma in Marketing (UK).Finally, started his PhD in UK and


completed it in Finland. Upon completion of his PhD, he was awarded a title of


Associate Professor of Marketing with the Preson University, Finland.


Mimi nimesoma shule za KAYUMBA, sekondari ya kata isiyo na waalimu, nikajiunga na chuo fulani baada ya kidato cha nne kusomea taaluma fulani (certificate), baadaye nikafanya dipolma na advanced Diploma ya hiyo taaluma. Nilivyomaliza nikafanya Post graduate diploma na MBA, zote hizi ni hatua za kuunga. Sasa hivi namalizia shahada yangu ya UZAMIVU hapa Open University. Ninajiamini na kujitambua, niliosoma nao wananiheshimu. Je wasemaje?
Nikipewa kazi kubwa sehemu utasema AH HUYU HATA FORM SIX HAKUFIKA!!!!!!!!!! PLZZZZZZZZZZZ tusiwe wafinyu wakufikiri. Huo wote ndo ujinga tunaoukataa. Mtu akijiendeleza mnamuona mjinga, WEWE UMESHINDA KWA KUIBA NA KUFANYIWA MITIHANI, BABAKO FISADI umesomea shule za Academy, umefika chuo kikuu kwa mbinu, umeshinda kwa kununua NZOKI (nondo) hata kujiandikia proposal huwezi mpaka utafute mtu. Umempata unaanza oh! kasoma wapi? chuo hiki ulaya hakuna! KWANI WEWE KWENU ULAYA?
AU UMESOMA CAMBRIDGE, OXFORD NA HAVARD????? plzzzzzzz, tuache hizo. Kwanza mtu atuambie humu tueleweshwe PHD ni nini!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom