Profesa wa sayansi, uhasibu, hesabu au engineering hasomei kuzungumza siasa majukwaani bali anasomea fani yake

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Jul 7, 2020
6,323
8,236
Profesa wa sayansi, uhasibu, hesabu au engineering hasomei kuzungumza siasa majukwaani bali anasomea fani yake.

Lakini pia Dokta wa sayansi, uhasibu, hesabu au engineering hasomei kuzungumza majukwaani bali anasomea fani yake.

Nitaendelea kuwafundisha watanzania wasio nauelewa juu ya professionalism za wasomi wetu Tanzania.

Huwezi kumlinganisha profesa wa sheria na profesa wa sayansi katika kuielezea sheria lazima profesa wa sheria ataonekana anajua kuelezea sheria kuliko profesa wa sayansi. Vivyohivyo huyu wa sayansi ataonekana yuko vizuri kwenye sayansi yake.

Jambo moja ambalo watu wengi wanashindwa kulielewa ni kuhusu professionalism. Kuwa profesa au dokta haaminishi kwamba amesoma kila kitu amekimaliza hapana kuna specialization.

Wengine wanabobea kwenye physics, wengine kwenye hesabu, wengine kwenye uhasibu, wengine kwenye kiswahili na wengine kwenye siasa, n.k

Sasa mtu kuwa profesa wa kiswahili haimaanishi kwamba hata kiingereza anakijua, au hata sayansi anaijua au hata siasa anaijua au hata kuongea kisiasa anajua.

Tuache kuchanganya katika hilo lasivyo tutaendelea kuwalaumu watanzania wenzetu. Mara huyu haongeii kiswahili kizuri huyu hajui siasa, mara huyu hazungumzi kiingereza kizuri mara huyu hajui sheria.

Kila mtu anajua vizuri kile alichokisomea, tofauti ni kwamba kunabaadhi ya mambo ukiyasomea yanatumika moja kwa moja kwenye jamii katika mazungumzo ya kila siku. Na kuna mengine ukiyasomea hayatumiki kwenye mazungumzo ya kawaida.

Mfano vipi mtu aliyesomea historia akachukua na siasa kidogo, au vipi mtu aliyesomea civics, hawa wanakua vizuri sana mdomoni wakiwa jukwaani.

Naomba nimalize karibuni kwa maoni sasa.
 
Profesa wa sayansi, uhasibu, hesabu au engineering hasomei kuzungumza si majukwaani bali anasomea fani yake.

Lakini pia Dokta wa sayansi, uhasibu, hesabu au engineering hasomei kuzungumza majukwaani bali anasomea fani yake.

Nitaendelea kuwafundisha watanzania wasio nauelewa juu ya professionalism za wasomi wetu Tanzania.

Huwezi kumlinganisha profesa wa sheria na profesa wa sayansi katika kuielezea sheria lazima profesa wa sheria ataonekana anajua kuelezea sheria kuliko profesa wa sayansi. Vivyohivyo huyu wa sayansi ataonekana yuko vizuri kwenye sayansi yake.

Jambo moja ambalo watu wengi wanashindwa kulielewa ni kuhusu professionalism. Kuwa profesa au dokta haaminishi kwamba amesoma kila kitu amekimaliza hapana kuna specialization.

Wengine wanabobea kwenye physics, wengine kwenye hesabu, wengine kwenye uhasibu, wengine kwenye kiswahili na wengine kwenye siasa, n.k

Sasa mtu kuwa profesa wa kiswahili haimaanishi kwamba hata kiingereza anakijua, au hata sayansi anaijua au hata siasa anaijua au hata kuongea kisikidogo, ajua.

Tuache kuchanganya katika hilo lasivyo tutaendelea kuwalaumu watanzania wenzetu. Mara huyu haongeii kiswahili kizuri huyu hajui siasa, mara huyu hazungumzi kiingereza kizuri mara huyu hajui sheria.

Kila mtu anajua vizuri kile alichokisomea, tofauti ni kwamba kunabaadhi ya mambo ukiyasomea yanatumika moja kwa moja kwenye jamii katika mazungumzo ya kila siku. Na kuna mengine ukiyasomea hayatumiki kwenye mazungumzo ya kawaida.

Mfano vipi mtu aliyesomea historia akachukua na siasa kidogo, au vipi mtu aliyesomea civics, hawa wanakua vizuri sana mdomoni wakiwa jukwaani.

Naomba nimalize karibuni kwa maoni sasa.
Hakuna chochote ulichokielezea hapo ambacho ni cha kufundisha wengine kama ulivyojitanabaisha. Hueleweki ndani ya maelezo marefu yako unalenga kitu gani maana hakuna atakaye kuelewa labda kwa ubashiri
 
Nitaendelea kuwafundisha watanzania wasio nauelewa juu ya professionalism za wasomi wetu Tanzania.
Sijaona po pote ulipofundisha juu ya "...professionalism za wasomi wetu"

Maprofesa wetu waache kukimbilia siasa kama njia ya mkato ya kukwasika. Badala yake wajikite katika kufundisha, kufanya tafiti na kuandika mawazo na utaalamu wao katika vitabu na majarida kwa ajili ya sasa na vizazi vijavyo. Hii ndiyo dhima kuu ya maprofesa duniani kote!
 
Profesa wa sayansi, uhasibu, hesabu au engineering hasomei kuzungumza si majukwaani bali anasomea fani yake.

Lakini pia Dokta wa sayansi, uhasibu, hesabu au engineering hasomei kuzungumza majukwaani bali anasomea fani yake.

Nitaendelea kuwafundisha watanzania wasio nauelewa juu ya professionalism za wasomi wetu Tanzania.

Huwezi kumlinganisha profesa wa sheria na profesa wa sayansi katika kuielezea sheria lazima profesa wa sheria ataonekana anajua kuelezea sheria kuliko profesa wa sayansi. Vivyohivyo huyu wa sayansi ataonekana yuko vizuri kwenye sayansi yake.

Jambo moja ambalo watu wengi wanashindwa kulielewa ni kuhusu professionalism. Kuwa profesa au dokta haaminishi kwamba amesoma kila kitu amekimaliza hapana kuna specialization.

Wengine wanabobea kwenye physics, wengine kwenye hesabu, wengine kwenye uhasibu, wengine kwenye kiswahili na wengine kwenye siasa, n.k

Sasa mtu kuwa profesa wa kiswahili haimaanishi kwamba hata kiingereza anakijua, au hata sayansi anaijua au hata siasa anaijua au hata kuongea kisikidogo, ajua.

Tuache kuchanganya katika hilo lasivyo tutaendelea kuwalaumu watanzania wenzetu. Mara huyu haongeii kiswahili kizuri huyu hajui siasa, mara huyu hazungumzi kiingereza kizuri mara huyu hajui sheria.

Kila mtu anajua vizuri kile alichokisomea, tofauti ni kwamba kunabaadhi ya mambo ukiyasomea yanatumika moja kwa moja kwenye jamii katika mazungumzo ya kila siku. Na kuna mengine ukiyasomea hayatumiki kwenye mazungumzo ya kawaida.

Mfano vipi mtu aliyesomea historia akachukua na siasa kidogo, au vipi mtu aliyesomea civics, hawa wanakua vizuri sana mdomoni wakiwa jukwaani.

Naomba nimalize karibuni kwa maoni sasa.

Japokua umeelezea vizuri wapo tu watakaokuja kuanzisha porojo
 
Profesa wa sayansi, uhasibu, hesabu au engineering hasomei kuzungumza si majukwaani bali anasomea fani yake.

Lakini pia Dokta wa sayansi, uhasibu, hesabu au engineering hasomei kuzungumza majukwaani bali anasomea fani yake.

Nitaendelea kuwafundisha watanzania wasio nauelewa juu ya professionalism za wasomi wetu Tanzania.

Huwezi kumlinganisha profesa wa sheria na profesa wa sayansi katika kuielezea sheria lazima profesa wa sheria ataonekana anajua kuelezea sheria kuliko profesa wa sayansi. Vivyohivyo huyu wa sayansi ataonekana yuko vizuri kwenye sayansi yake.

Jambo moja ambalo watu wengi wanashindwa kulielewa ni kuhusu professionalism. Kuwa profesa au dokta haaminishi kwamba amesoma kila kitu amekimaliza hapana kuna specialization.

Wengine wanabobea kwenye physics, wengine kwenye hesabu, wengine kwenye uhasibu, wengine kwenye kiswahili na wengine kwenye siasa, n.k

Sasa mtu kuwa profesa wa kiswahili haimaanishi kwamba hata kiingereza anakijua, au hata sayansi anaijua au hata siasa anaijua au hata kuongea kisikidogo, ajua.

Tuache kuchanganya katika hilo lasivyo tutaendelea kuwalaumu watanzania wenzetu. Mara huyu haongeii kiswahili kizuri huyu hajui siasa, mara huyu hazungumzi kiingereza kizuri mara huyu hajui sheria.

Kila mtu anajua vizuri kile alichokisomea, tofauti ni kwamba kunabaadhi ya mambo ukiyasomea yanatumika moja kwa moja kwenye jamii katika mazungumzo ya kila siku. Na kuna mengine ukiyasomea hayatumiki kwenye mazungumzo ya kawaida.

Mfano vipi mtu aliyesomea historia akachukua na siasa kidogo, au vipi mtu aliyesomea civics, hawa wanakua vizuri sana mdomoni wakiwa jukwaani.

Naomba nimalize karibuni kwa maoni sasa.
Tofauti kubwa katika taaluma ulizozitaja ni kwamba Mwanasayansi haishi katika nadharia. Hata ikiwa ni budi kufanya shughuli za taaluma nyingine, atazingatia kupata matokeo anayotarajia
 
Back
Top Bottom