Sakoyo Senior Member Aug 23, 2010 135 7 Aug 23, 2010 #1 Eti wakuu "Profesa na Mwanasiasa" ni nani zaidi "kibongobongo"?
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,724 Aug 23, 2010 #4 Wanasiasa wako wa levels mbalimbali, na pia ukisema maprofesa "kibongobongo" pia wapo wa kila aina(hadi wa miti shamba).. Weka sawa swali lako!
Wanasiasa wako wa levels mbalimbali, na pia ukisema maprofesa "kibongobongo" pia wapo wa kila aina(hadi wa miti shamba).. Weka sawa swali lako!
Ndibalema JF-Expert Member Apr 26, 2008 10,956 4,648 Aug 23, 2010 #5 Sakoyo said: Eti wakuu "Profesa na Mwanasiasa" ni nani zaidi "kibongobongo"? Click to expand... Umeshatembelea jukwaa la utambulisho?
Sakoyo said: Eti wakuu "Profesa na Mwanasiasa" ni nani zaidi "kibongobongo"? Click to expand... Umeshatembelea jukwaa la utambulisho?
M mwita ke mwita JF-Expert Member Aug 13, 2010 7,846 3,482 Aug 23, 2010 #6 profesa maana yake some one who knows a little but in details kwa hiyo be specific:A S 100: