SAMICO? meaning STAMICO
Usimkatishe taamaa, haya mambo kuna siku yataisha tu, ni taratibu. Lakini akiwepo mtu makini yataaisha, mimi nina imani na huyu profesa, ataweza tu.Muhongo unapigana na system ambayo huiwezi. marais wawili hasa Mkapa amefanya madudu ambayo ukiyaingilia unapoteza "unga". Yangu macho!!!! Muulize Tibaijuka, amefika wapi na ardhi!!!
Pamoja na kukuta Madudu ya ovyo hapo wizarani bado ngereja anabandika mabaongo ya kujisafisha jimboni kwake. Hii inatisha
kwa ufahamu wangu mdogo nilikuwa najua gridi ya taifa haitoshelezi mahitaji! kumbe kuna mitambo huzimwa wakati mwingine! nilitegemea mitambo yote inge operate at full capacity!"Mheshimiwa Waziri pamoja na kununua kwa bei hiyo wakati mwingine sisi huamuriwa kuzima mashine zote ili kampuni nyingine ziweze kuzalisha na kuuza umeme na maagizo haya hutoka ngazi za juu"alisema Mwalangwa huku akishangiliwa na wafanya kazi wengine.
Usimkatishe taamaa, haya mambo kuna siku yataisha tu, ni taratibu. Lakini akiwepo mtu makini yataaisha, mimi nina imani na huyu profesa, ataweza tu.