Tangu atenguliwe uwaziri huyu bwana sjawahi either kumsikia au hata kumuona Bungeni.
Kwa wale Wabunge hasa wa upinzani mlioko huku hebu tupeni taarifa kama anahudhuria au la ili tutoe hukumu kwa Spika kuwa ni wa kupokea amri toka juu au anafanya double standard.
Kwa wale Wabunge hasa wa upinzani mlioko huku hebu tupeni taarifa kama anahudhuria au la ili tutoe hukumu kwa Spika kuwa ni wa kupokea amri toka juu au anafanya double standard.