Profesa Muhongo amekengeuka!

Profesa Muhongo amekengeuka!

Alikuwa anafanya reference kwa Professor mwenzake anayelipwa fedha ya uwaziri bila kuwa na kazi maalumu.
 
Huanza hivi hivi baadaye watu hujiuzulu.........tusubiri Masai hutahiriwa bila ganzi !! Tusubiri tuone.
 
Jana tumeshuhudia Profesa Muhongo akimchana Dr Ole Sendeka bungeni kwa kumkejeli na kumdhalilisha hadharani huku akifikia hatua ya kutaka kuweka hadharani matokeo yake (Ole Sendeka) ya mtihani wa kidato cha nne aliokaa mwaka 1984 katika Shule ya Sekondari Monduli.

Isingekuwa busara za Spika Makinda ni dhahiri kwamba Muhongo angeanika matokeo ya Ole Sendeka hadharani.

Badala ya kujibu tuhuma za ufisadi wa fedha za umma unaomkabili yeye (Profesa Muhongo) na mshirika wake (Maswi), Muhongo alitumia muda wa umma vibaya kwa kumshambulia Ole Sendeka kama mtu binafsi na kumdhalilisha vya kutosha.

Kwa jinsi ninavyofahamu mimi, ushahidi ukishatolewa bungeni, kama alivyofanya Dr Kafulila na Dr Ole Sendeka, ni jukumu la tume ya maadili ya bunge kuuchunguza na kuona kama unakidhi haja na kisha kuwapelekea TAKUKURU na mahakama waufanyie kazi.

Sasa inakuwaje Madam Spika akamruhusu Prof Muhongo apoteze muda wa umma kwa kumshambulia Ole Sendeka kama mtu binafsi huku akikwepa tuhuma za ufisadi zinazomwandama yeye na Maswi? Hili suala sio sawawa hata kidogo.

Aidha, inaonekana kwamba Prof Muhongo ni mtu wa ajabu sana kwa jinsi anavyojisifu kwa usomi wake bila kuzingatia kwamba sisi watanzania tumemtuma akatuwashie umeme sio kututangazia usomi wake! Mh Mbowe aliomba muda uongezwe ili kila mbunge apate nafasi ya kuhoji namna mambo yanavyokwenda ovyo kwenye wizara hii lakini Prof Muhongo akambeza na kumdharau.

Majisifu ya kila siku ya profesa Muhongo na kuringia usomi wake sio tija kwa watanzania. Watanzania tunataka umeme na tunataka mafisadi wanaokula fedha za umma washughulikiwe.

Sisi hatuna haja na usomi wa Muhongo. Hata kama Wizara hii ikiongozwa na mtu aisyekwenda shule kama vile Kapt Komba au Prof Majimarefu, sisi hatuna shida na hilo. Shida na taabu yetu ni kuona kila mtanzania anapata huduma ya umeme wa uhakika.

Profesa Muhongo anatakiwa ajiandikishe kwenye chuo siasa cha CCM Kivukoni, akajifunze taaluma ya siasa na namna ya kuheshimu watu na mawazo yao, tofauti na jinsi anavyotenda mambo kwa sasa. Kutaja usomi wa Ole Sendeka bungeni haikuwa hoja ya msingi. Hoja ya msingi ilikuwa ajibu tuhuma zinazomkabili yeye na msaidizi wake wa karibu (Maswi). Vitendo vya kifisadi vinavyofanywa na watu wa chama na serikali haviwafurahishi wananchi hata kidogo. Wananchi wanatka mawaziri wachapa kazi watakaowaletea maendeleao endelevu. Hawataki mawaziri domo kaya wanaoringia usomi wao wakati wanashindwa kutumia usomi huo kuwaletea wananchi maendeleo. Kutamba kwamba amewahimkuwa Rais wa wanajioljia Afrika hakutuongezei shibe na wala hakutupunguzii njaa. Muhingo anapaswa kupima kila neno linalotoka kinywani mwake na kutahimini madhara yake kabla ya kuliropoka hadharani.

Kutaja hadharani matokeo ya mtihani ya mtu anayetetea wananchi, ni utovu wa maadili ya uongozi na nidhamu kwa kiongozi mkubwa kama Muhongo ambaye anategemewa kuwaletea watanzania maendeleo. Matokeo ya mtihani ya mtu ni SIRI, hayatakiwi kutajwa hadharani—hii ni NYARA ya serikali. Muhongo na hao watumishi kengeufu wa Baraza la Mitihani (NECTA) waliomchapia matokeo ya Ole Sendeka yafaa wachukuliwe hatua za kisheria kwa kukiuka miiko ya utumishi wa umma.

Nawasilisha.
:yield:

kama kuna siku nilishikwa na hasira basi ni jana nilipokua namsikiliza na kumuangalia huyu Prof Muhongo,kwa kweli sidhani kama nitamuheshimu tena,ni mpuuzi wa hovyo pamoja na majigambo yake ya elimu aliyonao,kwanza kitendo cha kuweza kupata matokeo au mtihani wa mtu fulani wakati hizi documents ni nyaraka za serikali kwa kweli hakikubaliki na ni ukiukwaji uliovuka mipaka ya sheria inabidi ashitakiwe,haya mazezeta ni mijitu ya hovyo kupita maelezo....siasa zetu ni za unafiki mtupu na kamwe taifa hili halitakuja kua na maendeleo,tutabaki kuwa watu wa porojo na visingizio..shame on you Muhongo!
 
Huyo ndiye anayefaa kwa vishoka wanaopenda sana kudai rushwa kwa vihoja hoja bungeni na kutishia kwa kujidai wanajua kuwalipua watu ili wawekewe sent kwenye account zao. kimsingi watanzania tusiamini sana kuwa wawakilishi wasemao sana mle ndani ndiyo wanaofaa au wanatutetea lahasha hiyo kwa taarifa yenu ndiyo mbinu pekee itumikayo leo kujitwalia kwa wale wasio na msimamo. na pili unavyomuona muhongo na aina ya wabunge wetu wengi ni sawa kuna ombwe kubwa kama vile mbingu na dunia, kwani hata angeongea kiswahili angeonekana tu kajidai nk. hebu tuache naye afanye kazi!! na tumpe support.
 
Mtu akiwa mwizi wa vyuma vya reli ukimsomesha ataiba siyo tu vyuma bali train zima......Usomi usio na utu ni ujambazi hatari sana and thats what we experience in Tanzania...Watu wasio na morals walisomeshwa kwajasho la watanzania at the expense ya kina Jk Nyerere, Warioba and the likes leo hii hai hao ambao walinunuliwa kila kitu na serikali hadi kulipiwa nauli wamegeuka wakoloni zaidi ya wakoloni halisi!

Huyu prof tangu azarau watanzania nimemweka kwenye ignore list! Mtanzania gani kuwaita watanzania wenzake wanaweza uza maji na juice tu? Yeye anafurahia kubandikwa vyeo bandia vya uraisi wa geologia kama huo urais ungekuwa wa maana mbona hana invention yoyote inayoweza kuwa patented na kuiletea Tanzania pesa ambayo ingewaondoa katika kuondokana na kuwa wauza juice na maji?

Kama ameshindwa yeye mwenyewe kuwa emancipated ataweza kuwasaidiaje watanzania? What is the use if his professorial kwa watanzania if he cannot change the status quo ya watanzania kuwa wauza juice?

Hivi tunalaana gani sisi weusi? Why cant we be confident and do things on our own ways? People like him should be shamed and disgraced pengine itapunguza hawa watu kuwa liabilities amongst us!

Kama usomi ni wa type ya Mhongo I choose to be illiterate.....I hate Muhongo's attitude to the fullest!
 
Huyo ndiye anayefaa kwa vishoka wanaopenda sana kudai rushwa kwa vihoja hoja bungeni na kutishia kwa kujidai wanajua kuwalipua watu ili wawekewe sent kwenye account zao. kimsingi watanzania tusiamini sana kuwa wawakilishi wasemao sana mle ndani ndiyo wanaofaa au wanatutetea lahasha hiyo kwa taarifa yenu ndiyo mbinu pekee itumikayo leo kujitwalia kwa wale wasio na msimamo. na pili unavyomuona muhongo na aina ya wabunge wetu wengi ni sawa kuna ombwe kubwa kama vile mbingu na dunia, kwani hata angeongea kiswahili angeonekana tu kajidai nk. hebu tuache naye afanye kazi!! na tumpe support.

Support ya arrogant person ya kazi gani? Hivi anashindwaje kuwa mstaarabu na kuheshimu binadamu wenzake? Kosa hali halalilishi kosa; ufisadi hauwezi ku justify arrogance!

Yeye ni Geologist lakini akijifanya he is everything then you should understand he is not omniscient, omnipresent and almighty...As an educated person kwa level ya professor you dont expect him to act kwa jinsi alivyo tukimchimba sana utakuta kuna somewhere anatatizo ambalo analifunika kutumia position yake hiyo ya karatasi; hajikubali na hajiamini kama ana deserve hiyo title!
 
Duh m aliniaha hoi alipo muelezea mnyika aseeee,(aliuliza Mnyika kipeo cha 4+4 ni sawa 4... Tafuta mnyika.m. Aseee nlipofanya nakapata 0)

Daima kauli zetu zitatuhukumu, kabla ya mapinduzi ya ufaransa, wafaransa waliandamana kudai kuwa nchi haina mikate malkia akajibu kama hawana mikate si wale keki kilichompata na uzao wake kinatisha kwa hiyo ni vema viongozi wetu wakawa makini na kauli zao kwani hawaijui kesho yao.
 
Watanzania wanaweza biashara ya juice tu!!!!si ndiyo eeh!!!! asifikiri wananchi wanaihitaji elimu yake tunachohitaji ni uwajibikaji na kuheshimu watu FULLSTOP!!! mengi mwache hivyohivyo unless ni katika wale waleeeee
Longo longo pro muhongo siyo asili yake. kumshauri aende kivukoni kusoma siasa ni kumwambia aende kusoma longo longo. Mzee huyu haangalii sura wala chama. Ulivyokuja ndivyo atakavyokujibu. Kutaka kuonyesha matokeo ya mh Sendeka nayo ni sawa maana alitaka kuonyosha uelewa wa mtu huyo. tuwe wakweli hivi hatuoni mabadiliko ktk sekta ya umeme tangu pro muhongo awe waziri? kwa nn tusione kwamba huyu pro ameziba liziki za watu ndiyo maana anasakamwa? Hatukumbuki dili la mafuta mazito? Nani asiyeelewa Dr mengi anavyopenda kuabudiwa lkn pro hamuabudu na ndiyo chanzo cha wawili hawa kutoelewana? Mnataka serikali iwekwe mfukoni na watu wa aina ya Dr mengi? Watz bw angekuwa mpole mngemsodoa!! Anaonyesha makucha mnalalamika! kwani amezuia asichunguzwe km kuna tuhuma za kweli dhidi yake? Bila aibu unashauri wizara iongozwe na vihiyo mikataba ya kimataifa wataipambanuaje. Unasemaje matokeo ya mtu ni siri wakati hubandikwa ktk mbao za matangazo na sasa unayaona kiganjani? Huyu ni mzee wa makavu kavu. SHIKAMOO PRO MUHONGO.
 
eeh sijui muambiwe vp mshaambiwa akili za mwafrika hazifikili sawasawa kwahiyo ata ukiwa prof wazungu wanasema ni frofesa mwafrika kicheko mmh namie ncheke kweekweeee prof muhogo
 
tungekuwa na viongozi 10 tu kama Prof Muhongo nchi hii ingefika mbali sana.
 
acha kutetea ujinga bhana. au na wewe ulipata zero kama akina sendeka nini? GO PROF GO GO............................... WE ARE BEHIND YOU.

Jana tumeshuhudia Profesa Muhongo akimchana Dr Ole Sendeka bungeni kwa kumkejeli na kumdhalilisha hadharani huku akifikia hatua ya kutaka kuweka hadharani matokeo yake (Ole Sendeka) ya mtihani wa kidato cha nne aliokaa mwaka 1984 katika Shule ya Sekondari Monduli.

Isingekuwa busara za Spika Makinda ni dhahiri kwamba Muhongo angeanika matokeo ya Ole Sendeka hadharani.

Badala ya kujibu tuhuma za ufisadi wa fedha za umma unaomkabili yeye (Profesa Muhongo) na mshirika wake (Maswi), Muhongo alitumia muda wa umma vibaya kwa kumshambulia Ole Sendeka kama mtu binafsi na kumdhalilisha vya kutosha.

Kwa jinsi ninavyofahamu mimi, ushahidi ukishatolewa bungeni, kama alivyofanya Dr Kafulila na Dr Ole Sendeka, ni jukumu la tume ya maadili ya bunge kuuchunguza na kuona kama unakidhi haja na kisha kuwapelekea TAKUKURU na mahakama waufanyie kazi.

Sasa inakuwaje Madam Spika akamruhusu Prof Muhongo apoteze muda wa umma kwa kumshambulia Ole Sendeka kama mtu binafsi huku akikwepa tuhuma za ufisadi zinazomwandama yeye na Maswi? Hili suala sio sawawa hata kidogo.

Aidha, inaonekana kwamba Prof Muhongo ni mtu wa ajabu sana kwa jinsi anavyojisifu kwa usomi wake bila kuzingatia kwamba sisi watanzania tumemtuma akatuwashie umeme sio kututangazia usomi wake! Mh Mbowe aliomba muda uongezwe ili kila mbunge apate nafasi ya kuhoji namna mambo yanavyokwenda ovyo kwenye wizara hii lakini Prof Muhongo akambeza na kumdharau.

Majisifu ya kila siku ya profesa Muhongo na kuringia usomi wake sio tija kwa watanzania. Watanzania tunataka umeme na tunataka mafisadi wanaokula fedha za umma washughulikiwe.

Sisi hatuna haja na usomi wa Muhongo. Hata kama Wizara hii ikiongozwa na mtu aisyekwenda shule kama vile Kapt Komba au Prof Majimarefu, sisi hatuna shida na hilo. Shida na taabu yetu ni kuona kila mtanzania anapata huduma ya umeme wa uhakika.

Profesa Muhongo anatakiwa ajiandikishe kwenye chuo siasa cha CCM Kivukoni, akajifunze taaluma ya siasa na namna ya kuheshimu watu na mawazo yao, tofauti na jinsi anavyotenda mambo kwa sasa. Kutaja usomi wa Ole Sendeka bungeni haikuwa hoja ya msingi. Hoja ya msingi ilikuwa ajibu tuhuma zinazomkabili yeye na msaidizi wake wa karibu (Maswi). Vitendo vya kifisadi vinavyofanywa na watu wa chama na serikali haviwafurahishi wananchi hata kidogo. Wananchi wanatka mawaziri wachapa kazi watakaowaletea maendeleao endelevu. Hawataki mawaziri domo kaya wanaoringia usomi wao wakati wanashindwa kutumia usomi huo kuwaletea wananchi maendeleo. Kutamba kwamba amewahimkuwa Rais wa wanajioljia Afrika hakutuongezei shibe na wala hakutupunguzii njaa. Muhingo anapaswa kupima kila neno linalotoka kinywani mwake na kutahimini madhara yake kabla ya kuliropoka hadharani.

Kutaja hadharani matokeo ya mtihani ya mtu anayetetea wananchi, ni utovu wa maadili ya uongozi na nidhamu kwa kiongozi mkubwa kama Muhongo ambaye anategemewa kuwaletea watanzania maendeleo. Matokeo ya mtihani ya mtu ni SIRI, hayatakiwi kutajwa hadharani-hii ni NYARA ya serikali. Muhongo na hao watumishi kengeufu wa Baraza la Mitihani (NECTA) waliomchapia matokeo ya Ole Sendeka yafaa wachukuliwe hatua za kisheria kwa kukiuka miiko ya utumishi wa umma.

Nawasilisha.
:yield:
 
'Mwongo ni Profesa wa Mawe'.haya maneno kuna mtu aliyasema wiki hii hii,nae ni profesa
 
Mtu yoyote anayeringishia elimu au ku-undermine uwezo wa wengine kwasababu ya elimu yao,he/she lacks something.
 
Jana tumeshuhudia Profesa Muhongo akimchana Dr Ole Sendeka bungeni kwa kumkejeli na kumdhalilisha hadharani huku akifikia hatua ya kutaka kuweka hadharani matokeo yake (Ole Sendeka) ya mtihani wa kidato cha nne aliokaa mwaka 1984 katika Shule ya Sekondari Monduli.

Isingekuwa busara za Spika Makinda ni dhahiri kwamba Muhongo angeanika matokeo ya Ole Sendeka hadharani.

Badala ya kujibu tuhuma za ufisadi wa fedha za umma unaomkabili yeye (Profesa Muhongo) na mshirika wake (Maswi), Muhongo alitumia muda wa umma vibaya kwa kumshambulia Ole Sendeka kama mtu binafsi na kumdhalilisha vya kutosha.

Kwa jinsi ninavyofahamu mimi, ushahidi ukishatolewa bungeni, kama alivyofanya Dr Kafulila na Dr Ole Sendeka, ni jukumu la tume ya maadili ya bunge kuuchunguza na kuona kama unakidhi haja na kisha kuwapelekea TAKUKURU na mahakama waufanyie kazi.

Sasa inakuwaje Madam Spika akamruhusu Prof Muhongo apoteze muda wa umma kwa kumshambulia Ole Sendeka kama mtu binafsi huku akikwepa tuhuma za ufisadi zinazomwandama yeye na Maswi? Hili suala sio sawawa hata kidogo.

Aidha, inaonekana kwamba Prof Muhongo ni mtu wa ajabu sana kwa jinsi anavyojisifu kwa usomi wake bila kuzingatia kwamba sisi watanzania tumemtuma akatuwashie umeme sio kututangazia usomi wake! Mh Mbowe aliomba muda uongezwe ili kila mbunge apate nafasi ya kuhoji namna mambo yanavyokwenda ovyo kwenye wizara hii lakini Prof Muhongo akambeza na kumdharau.

Majisifu ya kila siku ya profesa Muhongo na kuringia usomi wake sio tija kwa watanzania. Watanzania tunataka umeme na tunataka mafisadi wanaokula fedha za umma washughulikiwe.

Sisi hatuna haja na usomi wa Muhongo. Hata kama Wizara hii ikiongozwa na mtu aisyekwenda shule kama vile Kapt Komba au Prof Majimarefu, sisi hatuna shida na hilo. Shida na taabu yetu ni kuona kila mtanzania anapata huduma ya umeme wa uhakika.

Profesa Muhongo anatakiwa ajiandikishe kwenye chuo siasa cha CCM Kivukoni, akajifunze taaluma ya siasa na namna ya kuheshimu watu na mawazo yao, tofauti na jinsi anavyotenda mambo kwa sasa. Kutaja usomi wa Ole Sendeka bungeni haikuwa hoja ya msingi. Hoja ya msingi ilikuwa ajibu tuhuma zinazomkabili yeye na msaidizi wake wa karibu (Maswi). Vitendo vya kifisadi vinavyofanywa na watu wa chama na serikali haviwafurahishi wananchi hata kidogo. Wananchi wanatka mawaziri wachapa kazi watakaowaletea maendeleao endelevu. Hawataki mawaziri domo kaya wanaoringia usomi wao wakati wanashindwa kutumia usomi huo kuwaletea wananchi maendeleo. Kutamba kwamba amewahimkuwa Rais wa wanajioljia Afrika hakutuongezei shibe na wala hakutupunguzii njaa. Muhingo anapaswa kupima kila neno linalotoka kinywani mwake na kutahimini madhara yake kabla ya kuliropoka hadharani.

Kutaja hadharani matokeo ya mtihani ya mtu anayetetea wananchi, ni utovu wa maadili ya uongozi na nidhamu kwa kiongozi mkubwa kama Muhongo ambaye anategemewa kuwaletea watanzania maendeleo. Matokeo ya mtihani ya mtu ni SIRI, hayatakiwi kutajwa hadharani—hii ni NYARA ya serikali. Muhongo na hao watumishi kengeufu wa Baraza la Mitihani (NECTA) waliomchapia matokeo ya Ole Sendeka yafaa wachukuliwe hatua za kisheria kwa kukiuka miiko ya utumishi wa umma.

Nawasilisha.
:yield:

Mnachezeshwa ngoma msiyoijua na mfanyabiashara mashuhuri hapa nchini bila kujua.
 
Watu wengi waliosoma Kwa shida ie kukariri Kwa kiwango cha juu ndivyo walivyo haimaanishi kuwa profesa ndio ana akili sana rais wa USA Lincoln alikuwa na Elimu ya kawaida sana lakini aliongoza kwa busara taiga kubwa muhongo aweke matokeo yake ya F4 na F6 tuone unaweza kuta alifaulu kawaida sana hamfikii hata mnyika mwenye matokeo ya muhongo yatupie javini tuchangie asije kuwa anatubabaisha hapa

naunga mkono hoja mwenye matokeo ya kidato cha 4 na 6 ya huyu msomi ambaye hajapata bahati ya kuelimika ayatupie hapa jamvini kusudi tupate nafasi ya kumjadili vyema huyo prof wa mawe....aksanta
 
vyovyote iwavyo mengi yuko light utaifa uzawa kwanza hata kama anataka kufanya udalali sipoa kinyume chake muhogo kwa uprofesa wako ungeonyesha njia wazawa waanzie wapi ilinao wanufaike sio kusema watz wanaweza kuuza juice ulichosema ni matusi kwa watz sasa na wewe ni msng mknd wako
 
Bora usikilize bongoflava kuliko kumsikiliza huyu mzee
 
Back
Top Bottom