Mkuu ujasiri huo wanaupata toka kwa Kamishna wa Elimu Prof Bhalalusesa. Huyo ndiyo kimara wa sera za kupanua mogoli badala ya kuboresha elimu. Alipoingia wizara ya elimu tu kazi ya kwanza ilikuwa ni kushauri wanaojiunga na kidato cha kwanza alama zao zishushwe toka 40% hadi 28%. Sasa hapa anajihami anapanua magoli ya Kidato cha Nne ili udhaifu wa maamuzi yake usije kuonekana hao vijana watakapomaliza kidato cha nne.Sijajua hii wizara ya Elimu ilipata wapi ujasiri wa kutangaza huu UOZO.Inasikitisha sana!
Kweli Mkuu jamaa alipinga uteuzi wake mapema, na ukiangalia hata mambo yanavyooenda wizarani yaani combination ua Prof Mchome + Prof Bhalalusesajumlisha Kawamwa + Mulugo = JANGA LA ELIMUkuna mtu humu kama tungemuelewa tungemuunga mkono kitaambo , maana alishamkataa huyo jamaa kabla hata hajaanza kazi .