bensonlifua92
Member
- Dec 9, 2010
- 84
- 33
Kama ni kweli basi gazeti la Mwananchi naliweka kwenye kundi la udaku kama Uwazi, Kiu, Ijumaa.
ritz amka kumekucha.... usitafute kujua ni kweli au la!!
Tuchambue utetezi wake:
1. Yeye alikuwa na mbunge mwenzake V. Nyerere wanacheka na kufurahi sana. Anasema Nasari yupo kwa mbali anafoka na kuagiza vijana wa cdm wamdhuru. Hivi ktk hali ya kibinadamu ya kawaida (kwa wale wanaojua jinsi adrenaline hormones zinavyofanya kazi mwilini) hivi ukitishiwa kuuawa ni kweli utabakia unacheka tu na Nyerere au mwilim uta-react against yaani hisia zitabadilika au uogope au ukasirike au utake kukimbia, tena unatishiwa hivo ukiwa kwenye ngome/kambi ya wapinzani wako. Tuache kudanganya umma na kuupotosha ukweli. Bora tu angesema sikujua kama kuna mapaparazi wangenifumania kwa picha kiasi hicho au angesema tu sisi wote ni binadamu uadui wa nini maana wote tunafanya kazi ya siasa
2. Hivi tatizo ktk picha hii limesababishwa na chadema au wamiliki wa gazeti la mwananchi. Why lawama za kwanza hapo ziwaaungukie chadema wakati hilo gazeti si la chadema. Tuamke jamani ktk kutoa shutuma ziwe za kweli basi.