Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,105
- 18,005
Hivi Waarabu huwa mnawaona wapi Zanzibar? Nilikwishafika Zanzibar na Pemba. Na pia nikafika nchi za waarabu - Egypt, Tunisia, Jordan... Sikuwahi kuwaona huko Waarabu wanaofanana na Wapemba hawa ninaoona hapa!!
Wapemba waarabu wengi wataondoka ACT wazalendo
Kisa kikubwa chama kimeshikwa na watu ngozi nyeusi akina Duni haji na yule ngozi nyeusi makamu wa Raisi wa Zanzibar
Mpemba Mwarabu hapendi kuwa chini ya Mswahili ngozi nyeusi mtoto wa Mtumwa
Baada ya kifo cha Maalim Seif ilitakiwa wampe mpemba mwarabu ndipo roho za wapemba waarabu zingefurahi
Watahama wengi sana