Profesa Lipumba awapa 'onyo' wote waliobadilisha na kupaka rangi Ofisi za CUF huko Zanzibar na kushusha bendera

Waache wadharau kawaida ya wabongo n dharau halafu wakiwekwa ndani wakikosa dhamana wanaanza kupiga kelele...Acha waendelee na akili za kushikiwa wachome bendera moto,nk Wambie Prof ili wasije sema hukuwambia
cuf haikuwahi kuwa na ofisi ya kumiliki zaidldi ya wanachama na wafyasi kujitolea mali zao.
wamekerwa wanaondoka na majamvi yao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napita tu.
 
Uko chama gani kwa sasa?
Sijaona chama cha siasa (upinzani) chenye malengo na hii nchi.

Yaani kila chama kinafanya vituko, 2015 baada ya EL kufika tu na kupewa kitanda huku watoto wakitakiwa kulala jikoni nilijua kuna shida.

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
Kwa nini unasema ACT ni mtoto wa CCM?,una uthibitisho wowote?
Haiwez kuwa hivo ACT ni mtoto wa ccm.Zzt na prof. watafanya siasa zao bila kubugudhiwa

Loyalty To country Alyways,To government When it deserves
 
mtendeni ni mali ya cuf

Wewe ni Mgeni Zanzibar! Jengo la Mtendeni lipo miaka zaidi ya 40 kabla ya Kuundwa CUF nikimaanisha tokea Lipumba na Mwalimu wakiwa Shule ya Msingi au hata Hawajaanza kusoma.

Na wala hakuna uthibitisho wowote Kuwa Jengo hilo waliuziwa CUF mwaka 1992 walipoanza kulitumia Jengo hilo baada ya Kuanzishwa Chama hicho.

Kumbuka Kuwa Mwaka Kilipoanzishwa CUF hakikuwa na Mbunge hata Diwani kwahiyo Kilikuwa na Ruzuku 0.0 na Maalimu alishafilisiwa tokea akiwa Gerezani kwahiyo CUF haikuwa na uwezo wa kununua hata Baiskeli achilia mbali Jengo la Ghorofa la Mtendeni.

So, Jengo Lina wamiliki wake ambao waliwapa Taasisi ya CUF na sasa Wamechukua wenyewe na Wanahiari yao Kuwapa ACT au kutowapa manake si lazima.
 
Lipumba mpaka sasa nafsi inaanza kumsuta kwa anayoyaona kwa wafuasi ambao yeye alikuwa anaamini kuwa wao watamuunga mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…