Profesa Lipumba awapa 'onyo' wote waliobadilisha na kupaka rangi Ofisi za CUF huko Zanzibar na kushusha bendera

Zile nyumba watu walijitolea ili zitumike kama ofisi za Cuf bure kabisa.Sasa hapo Propesa analalama nini?Nyumba ya kwangu,niliamua itumike ktk shughuli za Cuf,na sasa nimeamua zitumike ktk shughuli ACT.
 
Zile nyumba watu walijitolea ili zitumike kama ofisi za Cuf bure kabisa.Sasa hapo Propesa analalama nini?Nyumba ya kwangu,niliamua itumike ktk shughuli za Cuf,na sasa nimeamua zitumike ktk shughuli ACT.

Profu vyake ni mihuri na bendera,aache kulia ye ndo chanzo cha ttzo.
 
Ulichokisahau ni kuwa mali zote za chama huandikishwa kwa msajili wa vyama,chochote kilichoandikishwa kwa msajili kitabaki ni mali ya cuf hata kama ni wanachama walijitolea.

Kosa wanalolifanya ni kuingiza ushabiki kwenye mambo ya kisheria. Halafu wakibanwa watadai Lipumba anasaidiwa na serekali

Sent using Jamii Forums mobile app
Itambidi Lipumba aonyeshe sasa ushahidi wa maandishi nikanisha hati za nyumba na viwanja. Kuorodhesha tu kwa Mtungi mali haitoshi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwenyekiti wa Chama cha Cuf ndugu Profesa Lipumba amewapa onyo wale wote waliobadirisha matumizi ya Ofisi za Chama cha Cuf na kuwa za ACT.

Pia amewakumbusha kwamba ni makosa Kisheria kuchoma Bendera za Chama na kamwe wajiepushe na mukumbo wa ushawishi wa aina yeyote kwa kutenda uovu wa ama kuchoma ama kubadirisha Ofisi za Chama A kuwa za Chama B kinyume cha Sheria.

Amewapa ushauli wa kujitenga na akili za kuambiwa kwani mbele ya safari zitawaponza!
mwenyekiti wa msajili na mahakama... n
 
Majengo yanayobadilishwa ni majengo ya watu waliojitolea majengo yao yatumike kama ofisi za cuf,wanapoondoka wanaondoka na chakwao.
Politically correct.
Lipumba alifanya political miscalculations. Mwakani wale wabunge wa CUF waliopo sasa wanahamia ACT na Lipumba lazima akose ruzuku. Watabaki yeye na sakaya tu.
 
Hakuna mjinga tu anayeweza kutoka nyumbani kwake na kubadili rangi ya jengo ambalo ni mali ya chama....

Ukiona anafanya hivyo, elewa kuwa ni mali yake na maana yake ni kuwa hana mkataba tena na CUF na hakuna sheria ya kumlazimisha awe na mkataba nayo....!!

Kwa ishu ya kuchoma bendera, ingalau hilo ni kosa maana ni kweli hiyo ni mali ya chama.....

Lakini, huko Zanzibar kwani hakuna polisi wa kuwatia ndani wahalifu hao (kama ni kweli wanachoma bendera) mpaka Lipumba awaambie kuchukua hatua?

Wachukue hatua haraka!!.... What are they waiting for?

Usikute bendera zimekusanywa usiku kwa usiku na kwenda kuchomwa moto barabarani ama majalalani pasipo hata aliyezichoma kujulikana....!!
Waweza kuta hata hizo nyumbabwalikuwa hawalipii kodi.......kazi ngumu sana nahisi sasa LA profeseri atatumwa zenji spite nyumba kwa nyumba tena akiwa na ulinzi mkali katika ziara yenye ulinzi mkali
 
Siasa za Afrika ni kama michezo ya watoto. Kila mtu anataka kuwa "BABA".

Huu utitiri wa vyama ndiyo sababu ya kudumaa kwa demokrasia ya kweli.
Umri huo bado haujui kuwa upinzani unapambana na dola! Chama kilichopo madarakani hakishindani na upinzani kwani kinalindwa na dola na ndicho kinachodumaza maendeleo.
 
Umri huo bado haujui kuwa upinzani unapambana na dola! Chama kilichopo madarakani hakishindani na upinzani kwani kinalindwa na dola na ndicho kinachodumaza maendeleo.
Umri wangu unaujua?

Vyama vya upinzani vyenyewe kwa vyenyewe vina upinzani ni lini watakuja kupambana na chama tawala na kukiondoa madarakani.

Utitiri wa vyama vingi ni furaha kwa chama tawala kuendelea kuwaburuza, tulitakiwa tuwe na vyama viwili ili uone namna ambavyo chama tawala kingekuwa na wakati mgumu.

Usidhani kuna siku Ccm itatoka madarakani kama upi tu una upinzani.
 
Back
Top Bottom