Profesa Kitila Mkumbo amchana Humphrey Polepole

Chadema tokea wamsafishe fisadi Lowasa hawatakuja kuaminika tena mbele ya macho ya watanzania.

Watabaki kushabikiwa na malofa tu.


Kaka;
Huna jingine la kuchangia ni hili tu ku copy na ku paste?? Kwa nini kuitukana serekali tukufu namna hii jamani?? Yaani unataka kutuaminisha kuwa huyo Fisadi Lowasa anaitisha serekali yetu hata mahakama ya mafisadi kuundwa nayo inamwogopa??
au wataka kutuaminisha kuwa ile inayoitwa kuwa ni Mahakama ya Mafisadi ni hao hao mafisadi waliiunda ili kuwapeleka wenye haki wafungwe kuwapisha wale wenyewe?? Tafakari sana uyasemayo.
 
‪Kijana wangu Humphrey Polepole anapaswa kuelewa kuwa kazi ya chini kabisa (minimum responsibility)ya upinzani katika nchi ya kidemokrasia ni kuikosoa na kuizodoa serikali na chama kilichopo madarakani.


Mengine yote yanajengwa katika msingi huu.Kwa upinzani kuisifia serikali ni hiari lakini sio wajibu.


‬Sasa yeye kama Katibu wa Uenezi wa chama tawala kuitisha press conference kwa lengo la kulaumu upinzani kwa sababu unaikosoa na kuizodoa serikali ni kosa la kimantiki.


Yeye ajikite kujenga hoja za kutetea chama na maamuzi na matendo ya serikali pale bila kuzuia upinzani kufanya kazi yake ya kuzodoa kwa sababu hawezi kuzuia.


Naamini kijana wetu huyu hatapoteza umahiri wa kujenga hoja kama tumjuavyo.

Bado naendelea kuamini kuwa katika teuzi ambazo Mwenyekiti na Rais Magufuli alipatia sana ni pamoja na kumteua Ndugu Polepole kwa nafasi hii.

Abaki tu katika mstari wa kujenga hoja.

My take : Huenda Polepole ametishwa mzigo unaomlemea. Siyo makosa yake bali ya aliyemtwisha.
Hivi kitila nae mwanasiasa?
 
Ndiyo taabu ya kuchukua mchezaji wa chandimu kumpeleka ligi kuu bila hata kuwa mahiri na walau mechi za mchangani!
Pole pole alistahili kujua chama chake kuanzia ngazi ya uchipukizi,shina,kata tarafa,wilaya kabla hajabebeshwa zigo zito la uenezi na itikadi asiyoimudu na inayompwaya!
 
Polepole Hanna kitu ameisaliti tume ya warioba kapewa ukuu wa wilaya aliokuwa anaupiga vita njaa sio mchezo
 
Chadema tokea wamsafishe fisadi Lowasa hawatakuja kuaminika tena mbele ya macho ya watanzania.

Watabaki kushabikiwa na malofa tu.
We inaonyesha chadema walichukua demu wako mkuu.....

Huyo ni professor tena toka act.....

Chadema inaingiaje hapo.........

Kwa vijana kama nyie jinsi mnavyojenga hoja na mnakuja kuambulia UDC

Mkikuta familia inalia njaa wanakula maembe mnaanza kulia pia baada ya kutatua tatizo.............

DC unalia wakati una nyenzo zote wakati watoto umewakuta wanakula maembe Kwa ujasiri kabisa ............
 
Huyo Polepole alibweteka wakati jamaa ameingia madarakani huku yeye akiwa mpiga debe wake mkuu akadhani atakuta anasifiwa tu. Hivyo akiona mashambuli haya yalivyo makali na kiongozi wake uwezo wa kujibu hoja za kisiasa hana zaidi ya jazba anapata tabu ile mbaya. Avumilie tu kwani wakosoaji tutaendelea kuwepo maana kwa ukosoaji huu ndio tunamfanya jamaa ajirekebishe na akishindwa kila mtu ataujua udhaifu wake hivyo kufikia 2020 tutakuwa na uwezo wa kumpima vizuri.
 
‪Kijana wangu Humphrey Polepole anapaswa kuelewa kuwa kazi ya chini kabisa (minimum responsibility)ya upinzani katika nchi ya kidemokrasia ni kuikosoa na kuizodoa serikali na chama kilichopo madarakani.


Mengine yote yanajengwa katika msingi huu.Kwa upinzani kuisifia serikali ni hiari lakini sio wajibu.


‬Sasa yeye kama Katibu wa Uenezi wa chama tawala kuitisha press conference kwa lengo la kulaumu upinzani kwa sababu unaikosoa na kuizodoa serikali ni kosa la kimantiki.


Yeye ajikite kujenga hoja za kutetea chama na maamuzi na matendo ya serikali pale bila kuzuia upinzani kufanya kazi yake ya kuzodoa kwa sababu hawezi kuzuia.


Naamini kijana wetu huyu hatapoteza umahiri wa kujenga hoja kama tumjuavyo.

Bado naendelea kuamini kuwa katika teuzi ambazo Mwenyekiti na Rais Magufuli alipatia sana ni pamoja na kumteua Ndugu Polepole kwa nafasi hii.

Abaki tu katika mstari wa kujenga hoja.

My take : Huenda Polepole ametishwa mzigo unaomlemea. Siyo makosa yake bali ya aliyemtwisha.

Ukweli ni kwamba serikali hii wala haizodolewi na wapinzani, bali inazodolewa na umma wa Watanzania wenyewe.

Waache kujificha uzembe wao na kulialia na wapinzani wakati hata mikutano ya hadhara wamezuia! Lowassa kusimama tu kusalimia watu anapelekwa Polisi! Serikali hii imefaulu kufeli mapema asubuhi.
 
Back
Top Bottom