Pokea BONGE la like!!!
Umetishaaaaa sanaaa
Pokea BONGE la like!!!
Tunawasomi wazuri mnoo tz ila wanashawishika they face conflict of interest simameni wasomi muokoe nchi hii ndo mda huu wakutusaidia wanyonge
Pasco ni mbabaishaji mmoja wa mitandaoni... Hawezi kufananishwa na jembe Pascal Mayalla.Kwani ni huyu Pascal Mayalla au Pasco?
Hawa jamaa sijui ni mapacha? Niliwahi kukutana na Pasco "akiwa" na Pascal Mayalla Chalinze kwenye totoz za kikwere dah! Jamaa wanafanana sura, sauti hadi bodaboda wanazoendesha.Pasco ni mbabaishaji mmoja wa mitandaoni... Hawezi kufananishwa na jembe Pascal Mayalla.
Ningekuwa na uwezo wa kumshauri mwalimu wangu, dean wangu, na super visor wangu wa LL.B dissertation yangu, Prof. Palamagamba Kabudi, ningemshauri, aizamishe hii sense ya Tanganyika ndani ya vichwa vya CCM!. Hili ni suala tuu la kuwapatia elimu CCM, waelimike, waachane na ujinga wao wanaotaka kuulazimisha kwenye bunge maalum!.
Asante Prof. Kabudi, kulizungumzia hili.
Thanks.
Pascal.
Pascal Mayalla, inasikitisha sana kuona hawa watawala wetu wakiikana Tanganyika ambayo pia ipo ndani ya KATIBA, na vilevile ni vigumu kuitamka Zanzibar bila kuitambua Tanganyika. Sijui wamelishana yamini gani kujiaminisha kitu ambacho hakipo na hakiwezekani.
Asante Ben, kipindi ilikuwa kirudi siku nyingi, logistics zikikamilika, soon mtakiona hewani, ila ni kwa jina jingine!. Pasco achana nae kabisa, hana maana kabisa!, yeye kila siku anang'ang'ana na ukweli tuu, as if hajui siasa zetu ni za uongo uongo!. Afadhali yangu, kwenye ukweli nitasema, ila kwenye uongo nitajinyamazia!.
Paskali
Out of Topic: "nikitaka kui-delete TBCcm kwenye king'amuzi changu cha Azam nafuata taratibu zipi??
Wengi mmelisoma hili andiko la THE SO CALLED PROFESSOR kwa mihemko.
Binafsi sioni kama hotuba yenyewe INA hadhi ya kutolewa na professor.
Kama wewe ni professor unashindwa kuiona tofauti ya " TANZANIA BARA NA TANGANYIKA" lazima tuwe na wasiwasi na taaluma yako.
NO WONDER TUNAKUWA NA PRODUCT YA WASOMI WASIO NA ELIMU KAMA AKINA BEN SAANANE. kumbe walimu wenyewe ndio akina PALAMAGAMBA!!!!!!!!!!!!!!