With my respect kwa professor, anaongelea watanzania wa level ipi?,high class bila shaka,huku lingusenguse hata mlo mmoja uliokamilika ni shida, professor bila shaka yeye anakula protein kama main meal huku wanga, veg vikiwa ni supplements, huku lingusenguse ni tofauti kabisa, ugali(wanga)ndio main meal huku kakibakuli kakiwa na maharage, au mboga mboga, tunaishi kwenye Tanzania moja yenye one of the highest unequal society