Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Kile chama kimeshakufa Zitto ni mroho wa liquid assets.ACT wazalendo wana hali ngumu!
Kile chama kimeshakufa Zitto ni mroho wa liquid assets.ACT wazalendo wana hali ngumu!
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, leo Jumamosi tarehe 12 Februari, 2022 amesema nafasi yake iko wazi…
"Natoa wito na kuwahakikishia wanachama kwamba, hii nafasi ya mwenyekiti iko wazi kwenye uchaguzi unaokuja, kwa maana kwamba kila mmoja anaweza kugombea nafasi hiyo.
“Nawaomba radhi Wazanzibar niliowakwaza katika mgogoro, nawakaribisha tujenge chama. Kwa upande wangu wakati wa mgogoro hawakunitendea haki na kunielezea mambo yasiyo ya kweli niliyoyasikia na nisiyoyasikia, nimewasemehe yaliyopita si ndwele.
“Nasisitiza vijana tujitokeze kugombea nafasi zote ikiwa ni pamoja na nafasi ya mwenyekiti wa Taifa, kwamba Lipumba hajawa na hatakuwa kikwazo kwa watu kujitokeza kugombea nafasi hizo,”- Lipumba.
View attachment 2117082
Msimwamini shetan hata siku mojaMwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, leo Jumamosi tarehe 12 Februari, 2022 amesema nafasi yake iko wazi…
"Natoa wito na kuwahakikishia wanachama kwamba, hii nafasi ya mwenyekiti iko wazi kwenye uchaguzi unaokuja, kwa maana kwamba kila mmoja anaweza kugombea nafasi hiyo.
“Nawaomba radhi Wazanzibar niliowakwaza katika mgogoro, nawakaribisha tujenge chama. Kwa upande wangu wakati wa mgogoro hawakunitendea haki na kunielezea mambo yasiyo ya kweli niliyoyasikia na nisiyoyasikia, nimewasemehe yaliyopita si ndwele.
“Nasisitiza vijana tujitokeze kugombea nafasi zote ikiwa ni pamoja na nafasi ya mwenyekiti wa Taifa, kwamba Lipumba hajawa na hatakuwa kikwazo kwa watu kujitokeza kugombea nafasi hizo,”- Lipumba.
View attachment 2117082
Haruna Kaka?.......mmmh maveeeeMwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, leo Jumamosi tarehe 12 Februari, 2022 amesema nafasi yake iko wazi…
"Natoa wito na kuwahakikishia wanachama kwamba, hii nafasi ya mwenyekiti iko wazi kwenye uchaguzi unaokuja, kwa maana kwamba kila mmoja anaweza kugombea nafasi hiyo.
“Nawaomba radhi Wazanzibar niliowakwaza katika mgogoro, nawakaribisha tujenge chama. Kwa upande wangu wakati wa mgogoro hawakunitendea haki na kunielezea mambo yasiyo ya kweli niliyoyasikia na nisiyoyasikia, nimewasemehe yaliyopita si ndwele.
“Nasisitiza vijana tujitokeze kugombea nafasi zote ikiwa ni pamoja na nafasi ya mwenyekiti wa Taifa, kwamba Lipumba hajawa na hatakuwa kikwazo kwa watu kujitokeza kugombea nafasi hizo,”- Lipumba.
View attachment 2117082