Profesa Ibrahim Lipumba awaomba radhi Wazanzibar, yupo tayari kuachia Uenyekiti wa CUF

Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, leo Jumamosi tarehe 12 Februari, 2022 amesema nafasi yake iko wazi…

"Natoa wito na kuwahakikishia wanachama kwamba, hii nafasi ya mwenyekiti iko wazi kwenye uchaguzi unaokuja, kwa maana kwamba kila mmoja anaweza kugombea nafasi hiyo.

“Nawaomba radhi Wazanzibar niliowakwaza katika mgogoro, nawakaribisha tujenge chama. Kwa upande wangu wakati wa mgogoro hawakunitendea haki na kunielezea mambo yasiyo ya kweli niliyoyasikia na nisiyoyasikia, nimewasemehe yaliyopita si ndwele.

“Nasisitiza vijana tujitokeze kugombea nafasi zote ikiwa ni pamoja na nafasi ya mwenyekiti wa Taifa, kwamba Lipumba hajawa na hatakuwa kikwazo kwa watu kujitokeza kugombea nafasi hizo,”- Lipumba.

View attachment 2117082

CUF wakiweza kumshawishi Makamu Wa Rais Othman agombeee uenyekiti kazi kwisha
 
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, leo Jumamosi tarehe 12 Februari, 2022 amesema nafasi yake iko wazi…

"Natoa wito na kuwahakikishia wanachama kwamba, hii nafasi ya mwenyekiti iko wazi kwenye uchaguzi unaokuja, kwa maana kwamba kila mmoja anaweza kugombea nafasi hiyo.

“Nawaomba radhi Wazanzibar niliowakwaza katika mgogoro, nawakaribisha tujenge chama. Kwa upande wangu wakati wa mgogoro hawakunitendea haki na kunielezea mambo yasiyo ya kweli niliyoyasikia na nisiyoyasikia, nimewasemehe yaliyopita si ndwele.

“Nasisitiza vijana tujitokeze kugombea nafasi zote ikiwa ni pamoja na nafasi ya mwenyekiti wa Taifa, kwamba Lipumba hajawa na hatakuwa kikwazo kwa watu kujitokeza kugombea nafasi hizo,”- Lipumba.

View attachment 2117082
Msimwamini shetan hata siku moja
 
Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim Lipumba, leo Jumamosi tarehe 12 Februari, 2022 amesema nafasi yake iko wazi…

"Natoa wito na kuwahakikishia wanachama kwamba, hii nafasi ya mwenyekiti iko wazi kwenye uchaguzi unaokuja, kwa maana kwamba kila mmoja anaweza kugombea nafasi hiyo.

“Nawaomba radhi Wazanzibar niliowakwaza katika mgogoro, nawakaribisha tujenge chama. Kwa upande wangu wakati wa mgogoro hawakunitendea haki na kunielezea mambo yasiyo ya kweli niliyoyasikia na nisiyoyasikia, nimewasemehe yaliyopita si ndwele.

“Nasisitiza vijana tujitokeze kugombea nafasi zote ikiwa ni pamoja na nafasi ya mwenyekiti wa Taifa, kwamba Lipumba hajawa na hatakuwa kikwazo kwa watu kujitokeza kugombea nafasi hizo,”- Lipumba.

View attachment 2117082
Haruna Kaka?.......mmmh maveeee
 
Anakuja kwa njia nyingine.mipango ni ile ile mara itakapofika tarehe ya uchaguzi atawaacha wenzake awe upande wa kijani.hapo tayari atakuwa kijenga chama kwa ulaghai
 
Mwisho wa ubaya huwa Ni aibu. Heri kufa masikini kuliko kusimangwa na walimwengu.
 
Wazanzibari hatujamkosea Lipumba, sasa anatusamehe kwa lipi :D

Alijua watu wanapenda chama kumbe watu walimpenda Marehemu Maalim Seif
 
Back
Top Bottom