johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,973
- 141,984
Mwenyekiti wa CUF Prof. Lipumba amesema ukiona Chama cha upinzani kinamualika Mwenyekiti wa CCM kwenye vikao vyake kama Mgeni Rasmi ujue hicho siyo chama cha upinzani tena.
Elewa kwamba hicho ni chama rafiki wa watawala, amesisitiza Prof. bila kukitaja jina lakini wengi wanakijua.
Elewa kwamba hicho ni chama rafiki wa watawala, amesisitiza Prof. bila kukitaja jina lakini wengi wanakijua.