kukumsela
JF-Expert Member
- Oct 13, 2018
- 721
- 907
Kama ilivyo ada katika taalumu kama Law kuna shule ya sheria, uhasibu kuna NBAA nk. Lakini licha ya kufahamu kuwa ili mtu awe Profesa especially Tanzania ni lazima awe na Shahada ya Uzamivu yaani PhD na kufanya tafiti mbalimbali na machapisho, naomba kujua kuna taasisi au tume ya kumthibitisha mtu kuwa Profesa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app