TANZIA Profesa Aloyce Mayo afariki Dunia

Prof Mwayo amefariki usiku wa jana Jumatatu kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na Udsm.

Amefia hospitali ya TMJ
 
Ni jambo la kushukuru , Mana kufa kufahana, Mana resources ni chache Sana watu ni wengi Sana.
 
Nimewahi Fundishwa na walimu wengi, ila nilipofika Chuo mwaka wa 4 nikakutana na mwl. Ambaye aliugusa moyo wangu. Kutokana na ubize wake sikupata nafasi ya kuteta naye mawili matatu.

Hata baada ya kumaliza elimu yangu nilipanga one time niweze kurudi pale CoET si kw ajili ya kusoma bali kwa ajili ya kuzungumza na mwl. Niliyempenda mno na kuuamini na kuuheshimu uwezo wake uliopitiliza. Lakini Bahati mbaya haikuwezekana.

Mtindo wake wa maisha, namna alivyofundisha na kushauri vitabaki akilini na moyoni mwangu daima.

Mwl huyo ni Prof. Aloyce Wenceslaus Mayo.

Ee Mungu mwenyezi Mpumzishe salama salimini Mzee wetu Prof Mayo. Till another life. 💔
 
Hapana mkuu......

Hiyo ni sifa ya mtu binafsi na wala haihusiani na hali kimaisha ya mtu husika........

Nimewahi kukutana na masikini wenye roho nzuri na pia nimewahi kukutana na matajiri wenye roho mbaya sana.......

Dunia ni watu na watu ndio sisi na sisi kati yetu kila mmoja ana tabia yake na hulka zake......

Hakuna tabia inayojumuisha jamii au watu fulani bali ni tabia ya mtu binafsi......

Nafikiri wengi tutakubsliana na ulichokiandika mkuu.

Lakini kifinga nae anapoint, umasikini unaambatana na stress nyingi sana na hivyo kufanya wengi wasiwe na furaha. Hii inawapelekea kuwa kwenye mawazo na uchungu mwingi.

Kuna ile kujisikia inferiority kutokana na umaskini, unyonge unatamalaki na hapo ndio ajenda ya roho mbaya kwa maskini inaposemwa.
 
Nimewahi Fundishwa na walimu wengi, ila nilipofika Chuo mwaka wa 4 nikakutana na mwl. Ambaye aliugusa moyo wangu. Kutokana na ubize wake sikupata nafasi ya kuteta naye mawili matatu.

Hata baada ya kumaliza elimu yangu nilipanga one time niweze kurudi pale CoET si kw ajili ya kusoma bali kwa ajili ya kuzungumza na mwl. Niliyempenda mno na kuuamini na kuuheshimu uwezo wake uliopitiliza. Lakini Bahati mbaya haikuwezekana.

Mtindo wake wa maisha, namna alivyofundisha na kushauri vitabaki akilini na moyoni mwangu daima.

Mwl huyo ni Prof. Aloyce Wenceslaus Mayo.

Ee Mungu mwenyezi Mpumzishe salama salimini Mzee wetu Prof Mayo. Till another life.
Mke wake anamiliki FMJ hardware Buguruni
 
Profesa Mayo ambaye ni mmiliki wa shule ya sekondari Alpha iliyopo mikocheni B afariki dunia usiku huu katika hospitali ya TMJ.

Taarifa zaidi zitafika kadri nitakavyozipokea.

Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.


====

Prof. Mayo Amefariki Dunia Mkoani Dar es Salaam katika Hospital ya TMJ.

Profesa Wenceslaus Mayo alizaliwa 06 Desemba 1960, ni mzaliwa wa Mbulumbulu Karatu, Mayo alisoma Shule ya Sekondari Ilboru na Kuwa Mwanafunzi Bora kitaifa na kuendelea na masomo yake ya Kidato cha 5 na 6 Pale Kibaha Sekondari.

Baada ya Kumaliza Pale Kibaha alikwenda Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Faculty of Engineering kwa wakati huo (Kwa Sasa College of Engineering and technology) Kusoma Civil Engineering.

Baada ya Kupata Degree yake ya kwanza akapata na Degree ya Pili yaani Masters Degree Finland.

Kisha akapata nafasi ya kwenda Kusoma degree yake ya 3 Marekani ambapo hakupendelea sana Marekani, akaamua kwenda Kusoma Degree yake ya 3 Japan.

Alikuwa ni Professor wa Maji katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Coet, Idara ya Maji.
R.I.P
 
Profesa Mayo ambaye ni mmiliki wa shule ya sekondari Alpha iliyopo mikocheni B afariki dunia usiku huu katika hospitali ya TMJ.

Taarifa zaidi zitafika kadri nitakavyozipokea.

Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe.


====

Prof. Mayo Amefariki Dunia Mkoani Dar es Salaam katika Hospital ya TMJ.

Profesa Wenceslaus Mayo alizaliwa 06 Desemba 1960, ni mzaliwa wa Mbulumbulu Karatu, Mayo alisoma Shule ya Sekondari Ilboru na Kuwa Mwanafunzi Bora kitaifa na kuendelea na masomo yake ya Kidato cha 5 na 6 Pale Kibaha Sekondari.

Baada ya Kumaliza Pale Kibaha alikwenda Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Faculty of Engineering kwa wakati huo (Kwa Sasa College of Engineering and technology) Kusoma Civil Engineering.

Baada ya Kupata Degree yake ya kwanza akapata na Degree ya Pili yaani Masters Degree Finland.

Kisha akapata nafasi ya kwenda Kusoma degree yake ya 3 Marekani ambapo hakupendelea sana Marekani, akaamua kwenda Kusoma Degree yake ya 3 Japan.

Alikuwa ni Professor wa Maji katika Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Coet, Idara ya Maji.
RIP
 
Back
Top Bottom