Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,809
- 79,430
Kisangani ndio ilikua ngome yake akiongoza RCD Kisangani iliyokua imegawanyika toka RCD GomaMbona husemi UDSM walimuingiza cha kike walipo mtoa marekani alipokua anafundisha kwa mshahara mzito na kumleta Mlimani kwao? Huyu mwamba mara ya mwisho nilimuona 1997 Kisangani alikua na walinzi kibao utadhani makamu wa raisi! Atakumbukwa kwa kua miongoni mwa viongozi wa makundi ya waasi yaliowatesa wakongomani baada ya kuhitilafiana na Kabila.
Sent using Jamii Forums mobile app