TANZIA Prof. Wamba Dia Wamba afariki dunia

TANZIA Prof. Wamba Dia Wamba afariki dunia

Professor mbwiliza aliyewahi kuwa mkuu wa mkoa miaka ya zamani nimefanya naye kazi. Ameshastaafu. nimewahi kukutana naye posta mwaka 2018 and he was health and energetic.
Nestor Luanda RIP
 
Ila humu JF watu wamekula chumvi balaa
Sio chumvi nyingi tu humu watu shule zimepanda huwezi amini.
Humu kuna wabunge,mawaziri,wakurugenzi,wakuu wa usalama,wakuu majeshi
Sasa ukitaka uwe hoi ubahatike uone jina lake la kificho unaweza ukazimia
 
Back
Top Bottom