Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Hapa Mtikila ana kesi nyingine nzito. Lakini kwa sababu ni Mtikila itakuja na itapita na ataendelea kupeta
Mmmh mengine ni aibu kwa kweli! Ndio kusema serikali haijui kula na vipofu au they don't care anymore kitakachofikiriwa na wananchi?!
Na mimi nilikua najua kuwa huyu aliwakilisha serikali!..Lakini je alisoma au kusema waraka wowote toka serikalini unaoonyesha kuwa alitumwa kuwakilisha?...Kama hakutamka hivyo, basi alifika mahali hapo kibinafsi....Kama serikali haikuwakilishwa, basi ni jambo la kutia mashaka na la kutisha sana, hasa ukichanganya na kauli za mkuu wa kaya za hapo majuzi!
spchlessss.
god knws.