Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,316
- 10,782
Escrow ilichunguzwa na Zitto na Ripoti kutolewa bungeni lakini Serikali ya kina Mwandosya mmoja wa aliyekuwa cabinet minister haiku chukua hatua stahiki kama bunge lilivyopendekeza.
Bila ya kusahau John Pombe Magufuli, aliyekuwa cabinet minister pia jombaaa!