Wote hao ni viongozi wazuri, wanauzoevu, kwa mfano Mhe. L alipokuwa Waxiri alisisimamia kwa makini vizuri baadhi ya mipango mizuri ambayo iliachwa na awamu ya tatu, ikiwemo ujenzi wa shule za sekondari za kata, na mengine mengi, Pia na huyu Mh. mwingine naye kupumbuka ni mchapa kazi, kupunguka programme ya maji toka mwanza kuja shinyanga na mengineyo, hivyo ndugu zangu nawaombeni " Upendo, amani, umoja na Tanzania kwanza, tusijigawe"