Hivi bado watanzania great thinkers wana mtindio wa ubongo wa kuacha ku discuss issues but peopole? Kwa hiyo unategemea kurushusha viwango vyetu vya akili kuanza kumjadili Mwandosya? he is too small katika habari za maisha yetu na nchi hii. Hayo jadili na CCM kwenye chama chenu sisi si wa kwenu mahali pekee tutakapokutana ni kwenye kura na tayari tunajua hatumchague huyo muajiri wako mpya. Can you imagine unalinganisha jambo serious kama uchaguzi wa Rais kwa kutumia maneno ya taarabu, kithen party na kumtoa mwali, nyie lazima mswage maana akili hakuna
Mwandosya mgonjwa, Rais ajae ni Lowasa
Rais ajaye ni Tundu Lisu nyie vilaza.
Mojawapo ya vichwa vya magazeti leo,ni kuongezeka kukubalika kwa Professor Mark Mwandosya katika urais .je wadau Huyo anaweza shndana na El katka mbio hizo kw tkt ya Ccm?
Mwandosya mgonjwa, Rais ajae ni Lowasa
Mwaka huu tunataka Rais wa umri wa kati miaka ya kinamwandosya hapana,Lowasa,membe,slaa na wengine wenye umri kama huo hapana.
Mkuu Mingoi ndio mtazama nyota za wana CCM na ACT.Wewe unaesema nyota yake imeanza kung'aa umetumia njia gani kujua nyota alompa Mungu ndio imeanza kuwa hivyo kwenye mbio za urais?
Mkuu Mingoi ndio mtazama nyota za wana CCM na ACT.
Alishasema ubunge hautaki tena. Haumlipi, mizinga mingiNyota ya URais sijui hata kama bado anayo,yeye aendelee kuwa mbunge na MUngu azidi kumpa wepesi na azidi kusomesha watoto wasiojiweza kwa wingi,MUngu ata mlipia
Unapo mjadili Lowassa mbona unakuwa na akili hiyo hiyo ya chicken party?Hivi bado watanzania great thinkers wana mtindio wa ubongo wa kuacha ku discuss issues but peopole? Kwa hiyo unategemea kurushusha viwango vyetu vya akili kuanza kumjadili Mwandosya? he is too small katika habari za maisha yetu na nchi hii. Hayo jadili na CCM kwenye chama chenu sisi si wa kwenu mahali pekee tutakapokutana ni kwenye kura na tayari tunajua hatumchague huyo muajiri wako mpya. Can you imagine unalinganisha jambo serious kama uchaguzi wa Rais kwa kutumia maneno ya taarabu, kithen party na kumtoa mwali, nyie lazima mswage maana akili hakuna
Umri wa kati ndio upi, wa akina January ?
Mwandosya mgonjwa, Rais ajae ni Lowasa
Mwaka huu tunataka Rais wa umri wa kati miaka ya kinamwandosya hapana,Lowasa,membe,slaa na wengine wenye umri kama huo hapana.
Mwaka huu tunataka Rais wa umri wa kati miaka ya kinamwandosya hapana,Lowasa,membe,slaa na wengine wenye umri kama huo hapana.
Mojawapo ya vichwa vya magazeti leo,ni kuongezeka kukubalika kwa Professor Mark Mwandosya katika urais .je wadau Huyo anaweza shndana na El katka mbio hizo kw tkt ya Ccm?