Prof. Muhongo -> SYMBION -> Kikwete ->

Status
Not open for further replies.
Tangu niliposikia Prof. huyu kateuliwa kushika wizara nyeti hiyo nilijua kazi ndiyo imeanza! namfahamu kama mtu mwenye msimamo na mchukia rushwa ila nilimwonea huruma kwa vile alikabiliwa na ugumu katika utekelezaji wa majukumu yake akiwa na timu iliyooza. Uozo wote ndani ya TANESCO na Wizara ya madini ukiwemo wa mikataba mibovu ya madini ni maslahi ya viongozi wa chama chake na serikali iliyopo madarakani. Tusubiri, tuone.
 

Mkuu it seems that you have adequate information so why are you providing Incomplete assuming that everybody has a clue? Hapo kwenye hizo RED umeona nachomaanisha. This is WHERE WE DARE TO TALK OPENLY! Be so mkuu.
 

Mkuu Wizara husika ni ngumu; ugumu uko hapo ktk red kama ulivyoandika mwenyewe!
 

Yaani Wamarekani ni majangili wa kutupwa. Si watu wazuri hata kidogo. Ukiacha barabara waliyojengwa huko kusini kwa ajili ya kurahisisha kuiba uranium yetu, miradi yao mingi ndani ya TZ iko kwenye kutusambazia virusi vya ukimwi na viwanda vyao vya kutengeneza vyandarua huko Arusha. They are evil people.
 
syimbioni wana kazi ya kusambaza umeme vijijini...halafu inawezekana serikali ya marekani imegunduwa usanii uliofanyika wakati yule mama mmarekani alipokuja kufunguwa syimbion power
Symbion is owned by a former CIA operative. We know that once you work for CIA you will always be CIA.
Sasa CIA wameshapata upenyo ndani ya Bongo kupitia urafiki wa Wilson na Kikwete. Mengine jazieni wenyewe.
Hakukosea sana Dr. Slaa aliposema kuwa Kikwete ni janga la taifa. Madhara yake kuwa mamlakani yatatuathiri kwa miaka mingine 30 ijayo.
 
Mkuu it seems that you have adequate information so why are you providing Incomplete assuming that everybody has a clue? Hapo kwenye hizo RED umeona nachomaanisha. This is WHERE WE DARE TO TALK OPENLY! Be so mkuu.
Wengine hatujazoea kuandika kwa mtindo wa Kubenea, tunatoa tips tu. I've been on JF since 2008; naelewa hii slogan, shirikisha ubongo kidogo kamanda. MwanaHalisi hawapo, Raia Mwema au Mwananchi wataidaka hii, wasipoidaka kupitia kwangu basi kupitia source nyingine.
 
Last edited by a moderator:

Nilitaka kushangaa nani ana nguvu za kukataza jenereta za diesel zisiwashwe kwenye nchi hii? Ngoja tuone maana lazima mgao utengenezwe ili majenereta hayo yanufaishe wahusika
 
Ok nauliza...Nini kinaendelea kati ya ubalozi wa marekani na ikulu yetu?
 
Mara zote nisome vema. Nasimamia hoja zangu, na kama una access na Ikulu, uliza kwanini JK kasitisha ghafla kwenda Ethiopia. Uliza nini kinaendelea kati ya Ubalozi wa Marekani na Ikulu yetu.

Mkuu, hapo kwenye RED & BOLD, Huyu jamaa JK ana roho ya ajabu sana linapokuja suala la Safari, sijui kama atavumilia kutokwenda Huko
 
.... Muhongo kwa kujiamini, akaanza kuhoji 'wabunge kuhongwa na Symbion...' guess what followed!
 
.... Muhongo kwa kujiamini, akaanza kuhoji 'wabunge kuhongwa na Symbion...' guess what followed!

Duuh, tuarifu mkuu. I can only imagine what followed. Najua bado kuna vita ya akina Mboma et al kumhujumu au kuhakikisha Muhongo anaondolewa hapo wizarani. Please put more meat on the bone.
 
duhh!very very "Faiza Foxy"
 
validate your statement please. Kwanini kuto taarifa nusunusu? Mimi hapo sijaona cha kucomment kwa taarifa ambayo ni incopmlete.

musa uwe mweledi wa jf. Disclose some topics by your own.
 
Revolution is the solution...Hilo ndo naloliamini deep inside my heart.

Wote sisi ni product za ufisadi in one way or another kwasababu tumekuzwa na a corrupt system.Kuanza upya kabisa ndo solution vinginevyo tusidanganyane.
 
zomba-m=? yaani wewe mleta hnja yuko sirious na issue kama hii af we unaanza kuleta utaarabu cjui ushostito wako hapa senzi unaumwa magamba ndo maana huwa unakurupuka. Swala la kuitetea nchi wewe nye wakupewa au ni wale masalia wa wasomali wanaotaka kwenda south afrika. Jenga nch yako nape we!
 
hivi lini hii CCM tutairestisha ini pisi wawanawani 2015 mbali sana.
inakera sana kuona CCM kutwa kucha ni kutetea matumbo yao na sio maslahi ya wananchi
Prof Muhogo nakushauri wakikutisha itisha press conference sema kila kitu
halafu jiuzulu, hapo hapo andaa barua kabisa na itume after conference achia ngazi rudi kafundishe
CV yako inatisha huna haja kuinyenyekea CCM isiokuwa na lengo la kumkomboa Mtanzania.
 

mkuu mbwigule has anything to do with "mbwiga"?Back to the point nakubaliana na wewe kabisa.Hata mimi nilishangazwa Kongosho alieleza the same thing kuhsu huyo kiongozi,msimamo wake na uchapaji kazi wake.

Kwa tunavyomfahamu JK,ambaye inasemekana ana maslahi kwenye hizo issue zote,nilishangazwa sana na hatua za prof Muhongo.Maana what he did ni kinyume kabisa na JK.I was surprised.

Kama sifa anazopewa za uzalendo zina ukweli,basi nasubiri nione the next move.Kama ni kweli ni mtu mwelewa na mwenye uwezo wa kupambanua mambo.Basi alitumikie taifa kizalendo...
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…