Prof. Muhongo: Nimeshafanya uamuzi

Prof. Muhongo: Nimeshafanya uamuzi

Mpaka yale "mafisi" ya Kinana "Mzee wa meno ya Tembo" yatatangaza nia ya kugombea uarais kupitia chama cha mafisi (ccm) mwaka huu.
 
Zile pesa alizokwapua ndio zinamuwasha!! Hivi anadhani atashinda au??
 
Zile pesa alizokwapua ndio zinamuwasha!! Hivi anadhani atashinda au??

Fafanua kakwapua ngapi? Kutoka kwa nani? Ameshitakiwa wapi? Vinginevyo huitakii mema nchi yetu kwa kuzusha mambo bila ushahidi!!
 
Mario Jorge Zagallo 1931,mwanasoka wa kwanza duniani kushinda kombe la dunia akiwa kama mchezaji na kama kocha,aliwahi kusema kuwa tatizo kubwa la kuwa kocha wa timu ya taifa ya Brazil,ni kwamba kila Mbrazil anajifanya kuwa kocha.
Ndivyo hali ilivyo Tanzania inaelekea kwa sasa kila Mtanzania anajiona ni rais.
 
Mario Jorge Zagallo 193,mwanasoka wa kwanza duniani kushinda kombe la dunia akiwa kama mchezaji na kama kocha,aliwahi kusema kuwa tatizo kubwa la kuwa kocha wa timu ya taifa ya Brazil,ni kwamba kila Mbrazil anajifanya kuwa kocha.
Ndivyo hali ilivyo Tanzania inaelekea kwa sasa kila Mtanzania anajiona ni rais.

Au wameidharau hiyo taasisi!
 
Urais dili eh..sijaona mwaka kama huu kila mtu anataka agombee urais afu ndani ya chama kimoja!!! kweli kazi ipo.. ngoja waendelee kupiga makelele ila Rais wangu ni EL!!!:smile-big:

Halafu wote ni wasaliti wa wananchi sijui nani atawachagua labda familia zao.
 
Na mimi namuunga mkono.ni jasiri si muoga. Msomi na ana dira.Ndiye anayefaa
 
Prof. Sospeter Muhongo ni jembe ambalo litatutoa katika wimbi la umaskini, binafsi nimekuwa nikiinyima CCM kura kwa miaka kadhaa lakini kama CCM watampitisha Muhongo kugombea uraisi Nampa kura yangu bila hata kushawishiwa na mtu.
 
Muhongo anafaa sana kuwa rais isipokuwa anakosa vitu kadhaa,anadhan ni the smartest person tanzania,ana jeuri na atakandamiza uwekezaj wa wazawa,otherws namuunga mkono kama akijielezea vzur
 
Muhongo anafaa sana kuwa rais isipokuwa anakosa vitu kadhaa,anadhan ni the smartest person tanzania,ana jeuri na atakandamiza uwekezaj wa wazawa,otherws namuunga mkono kama akijielezea vzur

Mkuu uwekezaji kwa Wazawa hawezi kukandamiza kwa nyanja ambazo tunaweza kuwekeza.
 
"Nimeshafanya uamuzi kuhusu suala la Urais katika uchaguzi ujao. Ninachosubiri ni chama kutangaza ratiba"

Fedha za wafadhili zilizojenga hiyo miundombinu ndiyo mtaji wa kisiasa.

Mipango ya waliomtangulia aipora kuwa ni yake. Huyu si muhongo tu bali ni mporaji wa mafanikio aliyoyakutaaaaaa
 
Huyu " Watanzania mitaji yao ni yakuweza kwenye viwanda vya juisi", hajitambui. Waliosema ana matatizo ya akili hawakukosea!
 
Huyu " Watanzania mitaji yao ni yakuweza kwenye viwanda vya juisi", hajitambui. Waliosema ana matatizo ya akili hawakukosea!
Kwenye Mafuta na gesi si zaidi ya Makumpuni kumi Duniani yanayowekeza! Kama nikuchukua vitalu na kuyauzia makumpuni hayo tunaweza. TPDC inatuwakilisha vyema
 
Mario Jorge Zagallo 1931,mwanasoka wa kwanza duniani kushinda kombe la dunia akiwa kama mchezaji na kama kocha,aliwahi kusema kuwa tatizo kubwa la kuwa kocha wa timu ya taifa ya Brazil,ni kwamba kila Mbrazil anajifanya kuwa kocha.
Ndivyo hali ilivyo Tanzania inaelekea kwa sasa kila Mtanzania anajiona ni rais.

Huko ndio kukua kwa Democrasia, sasa tuwapime watakaojitokeza kwa hoja zao,zenye dira ya kulikomboa Taifa letu kutokana na Umasikini.
 
Back
Top Bottom