unanitaka
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 2,178
- 1,046
Professa Muhongo ni miongoni mwa Maprofessa wapumbav hapa Tanzania.
Yaani kuibuliwa kisiasa na Kikwete tu na kupewa ubunge wa viti maalum na Uwaziri wa ukuwadi kwa miaka mitatu tu, eti naye anataka urais?! Nimemdharau kabisa.
Acha kutoka povu wewe au ni tishio kwa mgombea wako