Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 743
Mwacheni aje aone mwenyewe..........
Mpeni moyo, pengine atachaguliwa na maprofesa wenzake.
Professa Muhongo ni miongoni mwa Maprofessa wapumbav hapa Tanzania.
Yaani kuibuliwa kisiasa na Kikwete tu na kupewa ubunge wa viti maalum na Uwaziri wa ukuwadi kwa miaka mitatu tu, eti naye anataka urais?! Nimemdharau kabisa.
Kweli hii nchi haiishi maajabu..!!
amini usiamini, muhongo akigombea anapita. pamoja na kwamba alijiuzuru lakini kwa kipindi chake ameonyesha uwezo mzuri sana kushughulikia mambo. anaweza kuwa aliboronga issue ya escrow, hela ambazo zilikuwa za mtu binafsi hata mimi ningechukua, si za rugemarila? tena ruge alilipa na kodi? zingekuwa za tanesco hapo mngesema. tofautisha waliochukua hela za ruge na mwanasheria mkuu aliyesababisha kodi isilipwe tukala hasara ya 27 bl. hao wengine walichukua hela za mtu binafsi tena aliyelipa kodi. hawajachukua hela za singasinga hao, ni za ruge, hata mimi ruge angetaka kunipa ningechukua. jueni kuwa kufukuzwa kwao wamefukuzwa si kwasababu wameiba la, ndio maana hawajapelekwa mahakamani, na mahakamani hawapelekeki. walifukuzwa kwa kukiuka maadili ya umma yanayowataka ukipata hela nyingi uzitangaze/declare na wao hawakudeclare. na tatizo kama hilo adhabu yake huwa sio criminal, ni uwajibishwaji wa aina ile tu.tushagundua ni usanii mtupu...
lakini asilimia ya watz wengi walimsapoti sana mhongo wakimtofautisha na ngereja ambaye kila siku tulikuwa na mgao, mhongo alikuja hatukuwa na mgao kwa muda mrefu sana na umeme umepanuliwa sana. sema tatizo alilofanya ni hilo kupokea hela kwa ruge na hakudeclare. hata rais wako alisema zile hela hazikuwa za umma, na ni kweli hazikuwa za umma.
ukiona ccm wamekosea leo hii wakamweka mhongo, amini usiamini hata ukawa wafanye nini atapita, na akipita ataifikisha hii nchi pazuri tu. hakuna asiyejua uwezo wa mhongo kwa tz hii. watu wana macho hata akiwa mchafu lakini ana mazuri yake.