Prof. Muhongo: Ni ujinga kujadili IPTL

Prof. Muhongo: Ni ujinga kujadili IPTL

Wakuu,

Prof. Muhongo ameanza kupaniki!Gazeti la Mtanzania leo limeripoti kuwa Muhongo amesema ni ujinga na upuuzi kujadili suala la IPTL.

Mwenye gazeti atupandikie hapa
Ujue hapo kisha meza ndoano!!!!
Wabunge wetu vuteni tu, jamaa sasa hivi ataanza kukoroma.
 
Wakuu,

Prof. Muhongo ameanza kupaniki!Gazeti la Mtanzania leo limeripoti kuwa Muhongo amesema ni ujinga na upuuzi kujadili suala la IPTL.

Mwenye gazeti atupandikie hapa

Arrogance nyingine bwana! Kwahiyo Muhongo anamuambia boss wake PM Pinda kuwa ni MJINGA leo kukabidhi report ya CAG inayohusu IPTL kwa Speaker wa Bunge Anne Makinda ili ijadiliwe na Bunge!
 
Jambo hili limeamuliwa na mahakama kuu kwahiyo anayekataa akate rufaa lakini kujadili kwenye magazeti na bungeni ni upuuzi.

Kwa hiyo kujadiliwa mahakama kuu ndio kunatosha kwa hivyo wananchi tusihoji? Kama majaji nao wapo kwenye orodha ya waliolipwa fedha za escrow tusiseme? Ripoti za uchunguzi zinasema fedha wamegawana kuanzia wabunge mawaziri mpaka majaji sasa mnataka wananchi tukae kimya. Ku.. Nina zenu
 
Kwani zile pesa ni za nani?serikali yetu au wanahisa wa IPT?

Sasa kulikuwa na haja gani kwa serikali kuagiza uchunguzi wa cag na pccb katika akaunti ya tegeta escrow? Kumbe kuna ma f.la wengi eeh
 
Muhongo anahalalisha ufisadi. Mbona nchi za kiarabu huwezi kuchimba mafuta mpaka uingie ubia na mwarabu regardless ana mtaji au hana-HILI LIKO WAZI. Sisi kila kitu tunafanya kama UCHAWI-Siri, siri, siri! Huu ni uongo wa Muhongo.
 
USIRI huu ni kwa manufaa ya WATAWALA na MAFISADI wanayoimaliza nchi.Na Muongo ni mmoja wao,ameonjeshwa ASALI ameamua kuchonga mzinga.

Na kama Wabunge wetu watalinyamzia basi hawana maana kabisa na hawastahili kuwepo BUNGENI,ni moja kwa moja kumpigia PINDA kura ya kutokuwa na imani naye.Iweje Mbunge tena wa kuteuliwa awe na kiburi cha ina hii?Na ni msomi sasa angekuwa hajaenda shule ingekuwaje?Hivi hawa wenzetu shule walizoenda ni za kujua kusoma na kuandika tu?

Maana wameshindwa kuondoa UJINGA.:hatari::confused2:
 
Sijawahi kuona profesa mjinga kama huyu hataki huu mjadala wa iptl kwa sababu gani? Hii lazima iwaondoe wasitufanye mafala sisi. Atakua ana saratani ya ubongo huyu muongo.Hatuna imani na vyombo vya serikali ndio maana tunatumia magazeti anasemaje sasa?
 
Muhongo yuko smart sana tofauti na unavyodhani ngoja uone kama kunakitu kitapatikana cha maana zaidi ya porojo za wanasiasa za kutaka kuuza sura na kusikika.

duh!! sijui miradi ya ccm tutaitekeleza vipi na wenye pesa zao wamebana. na vile prof matonya anaumwa sijui nani ataenda asia kuomba misaada.
 
Siamini kama maneno haya yanatamkwa na PROFESSOR muhongo , ngoja nipitie tena CV yake kujiridhisha juu ya haya maneno.

Kuwa na PHD au U-Professor siyo kwamba ni lazima uwe kiongozi mzuri au manager mzuri.Managers wazuri hawako na type ya kishenzi kama ya Muhongo,ninawasiwasi naye hana akili ya kuzaliwa bali amepata vyeti vyake kwa kuweka miguu kwenye maji na kusoma kama kichaa vingionevyo angefeli tu.

Inawezekana asingekuwa BUNDI enzi za kusoma kwake asingekuwa professor,kwangu mie ni msomi ambaye hajaelimika bali amejua kusoma na kuandika tu.

Wabunge wanatakiwa wamdondoshee mawe aondolewe nafasi hiyo na pili kuitaka serikali ianze kuleta mikataba yote iamuliwe na bunge sasa,hawa washenzi watatumaliza.
 
Ni mhogo? Aah mwizi ni mwizi tu hata akitoa matusi ya nguoni atabakia kuwa mwizi. Siku yako inakuja utakapotakiwa kutoa habari zako mwenyewe
 
Kwani wewe mleta mada kila kitu unaweka hadharani? Mbona unatumia ID fake kama unayosema yanatoka moyoni mwako?
 
you have elected hyenas to take care of goats....and when the goats are going missing, you wonder why?
 
hivi profesor ya mhongo ni kama ya jamaa yetu make anaona watz waote ni wajinga ila yy na ccm yake ndiyo wenye...... [akichagia profesor wa ccm na akachangia la saba wachadema]utapata point kwa la saba na sehem nyingine utapata matusi tu.
 
Back
Top Bottom