Prof. Muhongo: Ni ujinga kujadili IPTL

Prof. Muhongo: Ni ujinga kujadili IPTL

NIlisema ninasema na nitaendelea kusema ...Muhongo ni tatizo sana katika nchi hii... nini cha maana kafanya. majivuno tu yemejaa...oho... tanzania tuna bahati mbaya sana... jamaa ni bonge la ....

Msng chomeka e kati na mwisho
 
Inaelekea Prof Muhongo anaakili sana kuliko watanzania wote, nahisi yeye anadhani ni kamungu kadogo kalikoshushwa kuwakomboa wadanganyika
 
Yani hata usome vipi,ukishaingia kwenye siasa unakua kama zoba, uongo mwingi sana. Huyo Mulongo na taaluma yote hiyo bado anaongea madudu?Yan hapa haikutakiwa kukamatwa mkurugenzi wa TPDC bali anayejua yote ni Waziri wanatoa tu order......
 
Kwani Muhongo ni nani katika nchi hii mpaka aidindishie kamati ya bunge? Ni shahiri dhahiri kapewa ushauri na boss wake kuwa hiyo mikataba msitoe. Si mnasikia tetesi kuwa familia yake inahusika? Tusimlaumu Muhongo anatekeleza amri halali ya mteuzi na mwajiri wake.
 
Sehemu ya taarifa hiyo inasema " watu wanaozungumzia IPTL ni wajinga, fedha zile sio za umma ni za kampuni" alisema Profesa Muhongo. Alisema katika masuala ya uwekezaji watu wanapaswa kuwa makini ili kuepuka kutumia vitu vya watu na kuanza kuleta siasa.
" Kama hatuwezi uwekezaji tuache na sio kuingiza masuala ya siasa katika masuala ya msingi kama hayo ," alisema Profesa Muhongo. Alisema watanzania wanapaswa wafahamu kuwa serikali haina fedha za kutosha za kuendesha nchi katika sekta ya nishati hivyo ni lazima kuwepo wawekezaji watakaosaidia sekta hiyo.
" Tusijidanganye kama tunaweza kuhudumia hivi vitu ni gharama kuvitekeleza sijaona nchi ambayo inapinga wawekezaji duniani kwakuwa hiyo ndiyo njia rahisi ya kutatua matatizo hasa ya umeme," alisema Profesa Muhongo.



muhongo.PNG

Tukiwa tumebakiza siku chache tu kuelekea kujadiriwa kwa ripoti ya CAG bungeni Profesa Muhongo bado anasisitiza kuwa fedha za escrow siyo za umma ni za kampuni ya IPTL.
 
kabisa wambie hao wanasiasa mchwara wanapiga kelele za za kujinga za kujali matumbo yao tu kwa kutumia kivuli cha wananchi kwa maslai yao na familia zao
 
Mimi ni kati ya watu waliokuwa wanaamini na nitaendelea kuamini kuwa ishu ya Escrow account itaonekana ni ya kawaida sana baada ya ripoti yake kusomwa bungeni. Sidhani kama serikali ya CCM itakubali kuangamia kirahisi namna hii.
 
analinda team WAMA na Team KAJIPINDIE
na rais mtarajiwa wa Mizinga.

tumechoka
kuchotwa
 
CCM wanahalalisha wizi, et prof? hahahahaaaa prof wa mabox,Wazungu wanasitisha misaada kwa sababu ya wizi huu halafu et jinga moja linakuja kusema et haipaswi kuzungumziwa huh!!!! jinga kabisa
 
18.-(1) Subject to the provisions of subsection (3), every person summoned to attend to give evidence or to produce any document before the Assembly or a committee thereof shall be entitled, in respect of such evidence or the disclosure of any communication or the production of any such document, to the same rights and privileges as before a court of law.

(2) Without prejudice to the generality of the provisions of subsection (l), no public officer shall, except with the consent of the President (it) give, before the Assembly or it committee thereof, any document,
or
(b) produce, before the Assembly or it committee , thereof, any document,
(c) furnish to the Secretariat of the National Assembly any document or information relating to an y naval, military or air force matter; nor shall secondary evidence be received by or produced before the Assembly or committee of the contents of any such document.

(3) Unless the President otherwise directs no public officer shall refuse (it) to give before the Assembly or it committee thereof, any evidence;
or
(b) to produce , before the Assembly or it committee thereof, any document,
(c ) to furnish to the Secretariat of the National Assembly any information, relating to the correspondence of any civil department or any matter affecting the public service, and secondary evidence shall not be received by or produced before the Assembly or a committee of the contents of any such document which the President has directed shall not be produced such directions shall only be given when in the opinion of the President it would be contrary to the public interest to give Such evidence or to produce such document its aforesaid.
THOSE ARE LAWS OF THE COUNTRY GUYS BE OBJECTIVE....!!
 
Mimi ni kati ya watu waliokuwa wanaamini na nitaendelea kuamini kuwa ishu ya Escrow account itaonekana ni ya kawaida sana baada ya ripoti yake kusomwa bungeni. Sidhani kama serikali ya CCM itakubali kuangamia kirahisi namna hii.

umeonaaa enheee
 
Wakuu,

Prof. Muhongo ameanza kupaniki!Gazeti la Mtanzania leo limeripoti kuwa Muhongo amesema ni ujinga na upuuzi kujadili suala la IPTL.

Kujadili suala lolote hakuwezi kuwa ujinga. Ndio maana hata sera ya mambo ya nchi za nje ya serikali yake mwenyewe huyo Muhongo ina default kwenye mazungumzo pale kunapokuwa na mtafaruku.

Kutojadili ndio ujinga.

Kwa sababu, hata kama suala linafikiriwa kuwa na ujinga, mtahakikishaje kwamba ni ujinga kwa wote bila mazungumzo? Suala linaloweza kuwa ujinga kwa Muhongo linaweza kuwa na manufaa ambayo Muhongo hajayajua bado kwa Kiranga.

Kama anasema kujadili IPTL ni ujinga, hata yeye ni mjinga.

Kwa sababu, kusema "Ni ujinga kujadili IPTL" tayari ni kujadili IPTL.

Hii trick ya kuita kitu "ujinga" ili kutisha wajinga wanaoogopa kuitwa wajinga kuliko wanavyoogopa ujinga wenyewe imetumiwa na wajanja waliotaka kuongoza kwa kuwashikia akili watu kwa maelfu ya miaka.

Halafu hizi habari za mikataba kuwa ya siri sana zishapitwa na wakati. Ikiwa kama mpaka World Bank na IMF wanaweka mikataba yao wazi kwenye internet, inakuwaje serikali zetu zisiwape hata wabunge some semblance of even redacted versions if not the real thing?

The minister is too steeply inclined in the legality of the matter, false legality at that, with a wooden and pedantic approach where this need not be the case.

Overly secretive contracts are a loophole for corruption, we need to curb this loophole.

Such arrogance and disrespect for the will of the people (through parliament) begs the question.

Does the minister understand who is he supposed to be serving?
 
Wakuu,

Prof. Muhongo ameanza kupaniki!Gazeti la Mtanzania leo limeripoti kuwa Muhongo amesema ni ujinga na upuuzi kujadili suala la IPTL.

kweli ni upuuzi kujadili suala ambalo liko wazi kuhusu malipo ya watu waliokupa huduma yao
 
Back
Top Bottom