Prof. Muhongo: Ni ujinga kujadili IPTL

Prof. Muhongo: Ni ujinga kujadili IPTL

Jambo hili limeamuliwa na mahakama kuu kwahiyo anayekataa akate rufaa lakini kujadili kwenye magazeti na bungeni ni upuuzi.

Mahakama ipi mkuu?Unajua hukumu hiyo ilihusu nn?Itafute uisome!!
 
Ngoja muhongo atinge bungeni na kushusha data,wenyewe watazima fag.
ukweli na uhakika.

Labda ashushe matusi na kejeli alizozizoea,mwizi huyu aliyelambishwa asali sasa amechonga mzinga.Kazi kweli kweli.Wasomi tunaowategemea nidyo hawa wanatuangusha,wako radhi nchi iendelee kupepesuka wakati wao wanakula kuku kwa mrija.

Hongereni wenye nchi yenu,kuna siku mtaaibika sana na wengi wenu mtaishia kujitoa roho zenu.
 
Jambo hili limeamuliwa na mahakama kuu kwahiyo anayekataa akate rufaa lakini kujadili kwenye magazeti na bungeni ni upuuzi.
Kwa hiyo siku hizi majaji wakitoa hukumu wanalipwa milioni mia nne na waliyempa ushindi?tuwe angalau hata na tone la uruma kwa watanzania
 
Nimesikia katika kipidi cha tuzungumze magazeti cha redio free asubui leo kuwa Waziri profesa Muhongo amesubutu kusema usiri wa mikataba ya ges utaendelea kuwepo kwani ni utaratibu wa kimataifa na duniani kote mikataba ni siri.

Ikiwa ni kweli kasema hivyo kama iliyvo ripotiwa na baadhi ya magazeti , sasa najiuliza kama ni kweli kuwa usiri ni utaratibu wa kimataifa, je utratibu huo wa kimataifa upo kwa faida ya nani hasa?, faida na hasara zake ni zipi ?

Ikiwa unatukandamiza watanzania tulio wengi kwanini tuukumbatie? Kwa hili mimi linanitia shaka sana. Nadhani hizi ni mojawapo ya sababu zinasababisha wananchi wengi kukosa imani kwa viongozi wao kwa kasi kubwa kama sehemu ya utafiti wa taasi isiyo ya kiserikali TWAWEZA inavyosema kuwa imani ya wananchi kwa viongozi inashuka kwa kasi.

Sijui wengine mnasemaje...

 
Kenya gharama ya umeme chini kwa asilimia mia 30. Tanzania IPTL na capacity charge za kifisadi zimetuganda hadi kiama.
 
nchi inaibiwa ninyi mnaleta ushabiki wa kisiasa mpoleni sana, watu wanateseka mahospitalini wanafunzi wanakosa mikopo ninyi mnashabikia ufisadi poleni watz.

alie2loga amekufa! tena hata kaburi lake halijulikani lilipo!
 
Dah Muhongo ni tatizo kubwa sana TZ kwanza anajiona anajua kila ktu hadi kuwatukana wa TZ kwamba hatuna uwezo wa kumiliki vitalu bali soda na juice tu. Yaani viongozi kama hawa ni sawa na kansa inayolitafu na taifa. Kila lenye maslah na taifa yeye analipuuza tu awaache watz wajadil yanayohusu nchi yao
 
Labda ashushe matusi na kejeli alizozizoea,mwizi huyu aliyelambishwa asali sasa amechonga mzinga.Kazi kweli kweli.Wasomi tunaowategemea nidyo hawa wanatuangusha,wako radhi nchi iendelee kupepesuka wakati wao wanakula kuku kwa mrija.

Hongereni wenye nchi yenu,kuna siku mtaaibika sana na wengi wenu mtaishia kujitoa roho zenu.
Mkuu ujaribu na zoom nao wanatoa toa matangazo ya ajira,hamna haja ya kusononeka sana,utapata tu kazi,uwe ni mwenye kusubiri.
 
Kwa hiyo siku hizi majaji wakitoa hukumu wanalipwa milioni mia nne na waliyempa ushindi?tuwe angalau hata na tone la uruma kwa watanzania
Ukinipa ushahidi kuwa huyo hakimu kala milioni hata moja msimamo wangu utageuka kwa speed ya radi.
 
Wakuu,

Prof. Muhongo ameanza kupaniki!Gazeti la Mtanzania leo limeripoti kuwa Muhongo amesema ni ujinga na upuuzi kujadili suala la IPTL.

Mwenye gazeti atupandikie hapa

Anataka tujadili habari za mke wake?yeye ni mtuhumiwa atulie aache kukimbilia wimbi.
 
Muhongo yuko smart sana tofauti na unavyodhani ngoja uone kama kunakitu kitapatikana cha maana zaidi ya porojo za wanasiasa za kutaka kuuza sura na kusikika.

kipindi kingine hata kama mnapewa buku2 ili mtoe hoja za kipumbav kuwen na staha. mali zinaibiwa bado mnatete upuuzi. kuwa prof c hoja, kwani wasomi wangapi wanaiba mali ya umma? then eti Muongo yuko start! unatetea na cjui we kwenu mna maisha gani. wait cku yakikufika ndo utajua. na kias kikubwa mnaotetea hamna la kufanya zaid ya kupew hela ya chai. hvi ktk hlo kuna itikad za kichama?
 
Back
Top Bottom