Professor!...Professor of whaaaaaaat, kama huo uprofesa haumsaidii kufanya kazi kwa ueledi na ufanisi hauna maaana yeyote. Kuna mkuu wangu wa kazi alikua hapendi mtu anayejisifia vyeti au kujua vitu kama hawezi kuonyesha hayo mambo kwenye utendaji wa kazi. Alikua anasema bora nipate mtu asiyejua kitu ila mwenye nia ya kujifunza na nidhamu kuliko kuwa na mtu anayejisifu na vyeti au uzoefu huku haisaidii kampuni.
Ni hela za umma maana ni hela zilizokuwa zikilipwa na TANESCO kwa IPTL. Kwa kuwa TANESCO ni shirika la umma, basi ile ni Pesa ya umma iliyolipwa kwa kampuni binafsi. Tatizo ni kwamba malipo ya TANESCO kwa IPTL inaonekana yalipandishwa sana ili IPTL na wabia wake wafaidi hii pesa isiyo na mwenyewe. Ni sawa na kusema halmashauri imetumia sh. milioni 3 kutengeneza kila dawati la mwanafunzi, lengo likiwa kumnufaisha aliyepewa tenda ya kutengeneza madawati.
Uchunguzi ni lazima ulenge kwenye kufahamu kwa nini mtoa tenda aliona ni halali dawati moja kugharimu milioni 3? Kwa nini ashinikize malipo kwa mtengenezaji wakati bado kulikuwa na utata uliohitaji majibu? Aliyeshinikiza malipo, alifanya hivyo kwa kuahidiwa au kulipwa sehemu ya malipo hayo?
Wenzako wamepiga fedha ndeeefu ,wewe unatokwa na mapovu JFSiyo ujinga tu bali ni zaidi ya ujinga.
Recalculation ilifanyika siku mingi,tatizo hawakukuletea kadi ya mwaliko ukashuhudie.
Mkuu usijivike upuuzi 7bu ya kwamba unakulaga buku 7 ya ccm kinachojadiliwa hapa ni kwa maslahi ya watanzania sasa wewe unataka ulete siasa kwenye hili
NIlisema ninasema na nitaendelea kusema ...Muhongo ni tatizo sana katika nchi hii... nini cha maana kafanya. majivuno tu yemejaa...oho... tanzania tuna bahati mbaya sana... jamaa ni bonge la ....
Muhongo is right. Hakuna mkataba wa biashara ambao huwa inaandikwa magazetini. Kama mnazan kila jambo ni siasa huu ni ujinga sana. Imewahi kufanyika wapi hiyo ya kuchukua mikataba na kuweka kuiandika magazetini??
kama kilikuwa ndani ya mkataba kwa nini kulikuwa na ubishani mpaka escrow act ikafunguliwa na je kama hakikuwepo na kilikuwa inflated kwa nini costing isifanyike ili kupata value for money..... ndo mchangiaji aliuliza kwa nini dawati tunalo jua bei ni laki 6 usaini mkataba wa milioni 3?... huu wote ni wizi... suala sio kuwa au kuto kuwa kwenye mkataba...Vizuri sana.Kiwango kilichokuwa kinalipwa kilikuwa ndani ya mkataba au nje ya mkataba?
Muhongo ni mpuuzi
Unatakiwa kuwa objective with issues at hand. Sidhani kama ni sahihi kama ni stakeholder wa kawaida na mwenye kutaka kuona maslahi ya taifa yanazingatiwa kwa kumsusia mtu utakuwa ujitendei haki kimaslahi kama utabeza au kuchukia kila kauli anayotoa kiongozi eti kwa sababu your mind had already made a decision on the person. Kwa mtaji huo utapinga hata mema kisa kasema fulani au yamefanywa na fulani na kujikuta una ji-deprive your own reasoning ability.Namchuakia huyu la profesae sana kwa sababu tu ya majivuno yake. Hana tofautina werema AG.... huyu la profesae kuna siku alikuwa anahutubia bungeni na alisema kama ifuatavyo: kafulira power 4 times 4 is equal to zero, je kafulira ni ngapi..... kimsingi mimi nilimuona ----- tu huyu prof.... kuna wabunge std 7 wa ccm wanakata viuno tu bungeni " wanaume" hawawezi hata changia mswaada wowote kabda wa majungu, mfano ule wa jana wa kodi....uko kwa kingereza na wale wanajaza akidi tu na kusema NDIYOOoooo KIFUNGU KIMEPITA, harafu anamshambulia kafurila anae weza leta hoja nzito mpaka serikali sasa hivi hawalali... bure kabisa la profesae. ....
Muhongo ni mpuuzi
Muhongo ni mpuuzi