Prof. Muhongo kama ni speed basi anatumia mtandao wa 4G

Prof. Muhongo kama ni speed basi anatumia mtandao wa 4G

angeanza na service charge kuitoa tungemuelewa, kwa nini ulipie huduma ya mhudumu kukuletea chakula hotelin wakat ndo kazi yake?

Mkuu umeme uwe wa uhakika kwanza
 
Huyu jamaa ana pumzi kinoma, baada tu ya kuapishwa break ya kwanza kwa MD wa tanesco huyo siku hiyo hiyo alifika kituo cha umeme cha Hale na Pangani akayaona ya kuonekana, mvua zinanyesha mgao uko pale pale kumbe mashine moja mbovu na TANESCO hawana hela ndio wanahangaikia mkopo kutoka Sweden. Lipo pia tatizo la walima nyanya na kabeji wanayachepusha maji.

Leo atakuwa Mtera akachungulie kabisa mwenyewe aone kama kweli wanayafunguliaga maji au mashine ni mbovu kama za hale. bravo prof wa ukweli.

Binafsi namkubali sana huyu mzee yuko kikazi zaidi na wala sio mbabaishaji ktk masuala ya kitaifa,wengine wanasema anajivuna eeeeh in kwa sababu anajua na anajua anachokifanya kwa uhakika go profesa tupo nyuma kwa maslahi maana ya taifa hili na wala usimuonee muhali yyt atakayetaka kuleta ubabaishaji Wa rasilimali za nchi hii.
 
Prof Muhongo ana uchungu na nchi hii. Pia ni mtu ambaye anatumia vema taaluma yake. Pia ni mtu ambaye ana akili sana. Sema tu Mafisadi wakiongozwa na dalali mkuu, Reginald Mengi walitaka kuturudisha nyuma
Lizaboni usiwe mwongo kumsingizia Mengi,
Kwani alimlazimisha agawe fedha zetu za ESCROW??
 
Prof. Muhongo..naomba ukitoka huko nenda bandarini..kwenye mita za mafuta. Huko nako ni kama ICD fulani..uwizi kwa kwenda mbele. Waliopitisha mafuta kwenye mita mbovu washughulikiwe.
 
kweli mtu ukiwa ni ccm huwezi kuwa tofaut na mtoto.utakua wakudanganywa na pipitu kila siku baba akitoka akirudi umesahau.leo kweli mvua zinanyesha na pamoja na mashine hiyo kua mbovu lakin pia kas ya mgao ilishapungua kwa kias kikubwa hata kabla hajaapishwa huyo muhongo wenu.lakin kinachonisikitisha kwa mleta mada kwanza kumpa misifa mikubwa muhongo ambaye mwaka huuhuu wakat wa jk amehusika waziwaz kabisa na boss wake jk kututia hasara ya kula mabilion ya esxrow na tukaambiwa hazikua za serikali wala wananch wakat zimetokana na kod zetu.pil hata zingekua hazina mwenyewe zingetosha kujenga maabara ngap nch nzima na pengine na chench ibaki?wamebaki kuchangisha wananch.na kupandisha kod.istoshe mimi nilifikiri huyu mleta mada angetueleza nilini ataenda kwanza kule kwenye ile mirad ya kufua umeme utokanao na gass munakuja kuzungumzia mabwawa mfumo wa kizaman kesho kutwa kiangazi situnarudi tena kwenye mgao?muliambiwa mgao utakua historia baada ya kukamilika ile mitambo ya gass.ikawa uongo.leo bado munaiman na huyu muhongo?nikisema ni mfano wa mtoto siwatukan.lakin chini ya mwavuli wa ccm nch hii mabadiliko mutayaona nch za wenzenu miaka yote na tutaendelea kuwa daraja la kuwatajirisha wagen tukizidi kulia shida na kudanganywa kila kipind cha uchaguz.
 
Kama hatowaambia japo waweke ratiba ya mgao inayoeleweka naye ataingia kundi hilo hilo la Tanesco ya wababishaji. . . . .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom