Prof. Muhongo kama ni speed basi anatumia mtandao wa 4G

Prof. Muhongo kama ni speed basi anatumia mtandao wa 4G

Jamani Mengi anawachota akili sana Watanzania. hakuna mahali popote alipoklatazwa kuwekeza katika gesi isipokuwa yeye anataka apewe vitalu vya gesi bure ili yeye akatafute wawekezaji nje ya nchi hapo ndipo Prof. Muhongo anapopingana naye kwani Prof. anasema mwenye haki ya kupata vitali ni TPDC ambaye ndiyo mwenye mamlaka ya kutafuta wawekezaji ili fedha itakapopatikana iwe ya Watanzania wote na si vinginevyo
 
Prof Muhongo ana uchungu na nchi hii. Pia ni mtu ambaye anatumia vema taaluma yake. Pia ni mtu ambaye ana akili sana. Sema tu Mafisadi wakiongozwa na dalali mkuu, Reginald Mengi walitaka kuturudisha nyuma

kama muhongo ana akili sana basi na mimi nimiongoni mwa watu wenye akili nyingi sana
 
Tena rais tuliyemtaka ndiye huyu huyu ambae hakujitayarisha kuwa rais. Sikutegemea hadi leo bado tu ulikuwa hulijui hilo. Huoni hata baadhi ya wizara kakosa watu wa kuwaweka? Ndio ujue hakujiandaa...ila kazi anaweza. Na ndio maana tulimpa kura za kutosha.

Yule mgonjwa na fisadi mkuu, Lowassa, alikuwa na matayarisho tangu 1995...ila hadi leo ukimuuliza fisadi Lowassa, ni kwa namna gani utaweza kufanya elimu iwe bure hadi chuo kikuu...jibu hana! Reference: Nenda kasikilize mahojiano kati ya fisadi Lowassa na mtangazaji wa BBC Swahili...Zuhura Yunus.

Mkuu HAMY-D umetema madini ya uhakika, ambaye hajakuelewa basi ana shida huyo
 
Last edited by a moderator:
Ndakilawe 14:18 Today
By bona:
angeanza na service charge kuitoa tungemuelewa, kwa nini ulipie huduma ya mhudumu kukuletea chakula hotelin wakat ndo kazi yake?
AISEE.. hii kitu ndio ufisadi nambo moja hapa nchini! Halafu inasemwa kila siku, but wapo kimya tu.... I hate CCM for this... Hata wafanyakazi wa TANESCO wanalalamikia sana hii capacity charge.. wizi wa mchana kweupe




Service charges na capacity charges ni vitu tofauti
 
Jamani watz siasa nyingi. Huh mgao mpaka lini?. Au mgao ni financial project ya ccm
 
Hivi huyu fisadi ana vidume anavitunza hapa Dsm kwa kazi ya kumsifia na kumpamba sifa za kufanya kazi?
 
Prof Muhongo ana uchungu na nchi hii. Pia ni mtu ambaye anatumia vema taaluma yake. Pia ni mtu ambaye ana akili sana. Sema tu Mafisadi wakiongozwa na dalali mkuu, Reginald Mengi walitaka kuturudisha nyuma
Mdau uwe unaweka na akiba ya Maneno,so JK alishauriwa na akina Mengi ili ampige chini Prof wako?
 
Prof Muhongo ana uchungu na nchi hii. Pia ni mtu ambaye anatumia vema taaluma yake. Pia ni mtu ambaye ana akili sana. Sema tu Mafisadi wakiongozwa na dalali mkuu, Reginald Mengi walitaka kuturudisha nyuma

Wote hawa wanaponzwa na mtindo wa kuendesha serikali kwa siri. Ilifikia hatua ukweli na uwongo haujulikani. Sasa karudishwa na sijui maadui ndani ya CCM waliokuwa wakimsonga watakata tamaa? Tuliona jinsi spika Makinda alivyomlinda kwa nguvu wakati wizara yake ikiitwa ni muhimu sana.

Naona Sendeka aliyehasimiana naye safari hii yuko nje ya Bunge!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom