Huyu jamaa ana pumzi kinoma, baada tu ya kuapishwa break ya kwanza kwa MD wa tanesco huyo siku hiyo hiyo alifika kituo cha umeme cha Hale na Pangani akayaona ya kuonekana, mvua zinanyesha mgao uko pale pale kumbe mashine moja mbovu na TANESCO hawana hela ndio wanahangaikia mkopo kutoka Sweden. Lipo pia tatizo la walima nyanya na kabeji wanayachepusha maji.
Leo atakuwa Mtera akachungulie kabisa mwenyewe aone kama kweli wanayafunguliaga maji au mashine ni mbovu kama za hale. bravo prof wa ukweli.
Leo atakuwa Mtera akachungulie kabisa mwenyewe aone kama kweli wanayafunguliaga maji au mashine ni mbovu kama za hale. bravo prof wa ukweli.