Msela jela
Member
- Oct 13, 2012
- 24
- 3
Habari wanabodi.
kutokana na kutokuwepo kwa umeme nmeshindwa kutafuta maana halisi ya neno mgao kwenye kamusi ya tuki.
sasa yapata saa ya kumi na tatu bila umeme huku kwetu temeke.cjui nini sababu labda kwakuwa jana sikuangalia luninga jana labda wenzangu mna taarifa kuhusu kutokuwepo kwa umeme nashindwa sema ni uongo kuambiwa kuwa hakuna mgao tena hali ya kuwa umeme haupatikani.
katika hali ya kawaida umeme ukiwepo ilala na usipokuwepo temeke manake kuna mgao.au ukiwepo masaki na usipokuwepo puna manake kuna mgao.
ndugu kwa hali hii mgao wa umeme upo au haupo? Km upo je prof anatudanganya ?
kutokana na kutokuwepo kwa umeme nmeshindwa kutafuta maana halisi ya neno mgao kwenye kamusi ya tuki.
sasa yapata saa ya kumi na tatu bila umeme huku kwetu temeke.cjui nini sababu labda kwakuwa jana sikuangalia luninga jana labda wenzangu mna taarifa kuhusu kutokuwepo kwa umeme nashindwa sema ni uongo kuambiwa kuwa hakuna mgao tena hali ya kuwa umeme haupatikani.
katika hali ya kawaida umeme ukiwepo ilala na usipokuwepo temeke manake kuna mgao.au ukiwepo masaki na usipokuwepo puna manake kuna mgao.
ndugu kwa hali hii mgao wa umeme upo au haupo? Km upo je prof anatudanganya ?